Kuna nafasi ya kazi ya afisa mikopo kwenye ofisi ya Microfinance.
Ni ofisi ambayo ndo inaanza kutoa huduma ya mikopo midogo midogo hivyo inahitaji mfanyakazi mwenye elimu ya diploma ya finance,Marketing, Accounting au Business Administration.
Muombaji anatakiwa awe amewahi kufanya kazi kama afisa mikopo kwenye Microfinances, awe anaufahamu wa kutumia microsoft word,excel na angalau mfumo mmojawapo wa kutoa mikopo, good customer care na administration skills.
Ofisi ina prefer zaidi mwannaume kuanzia miaka30.
Kwa atakayekuwa interested awasilishe maombi yake kwa meseji kwenye namba 0745292135.
Ukipiga simu haitapokelewa, tuma meseji tu na ukionekana na sifa utapigiwa simu kwa ajili ya mahojiano.
Ni ofisi ambayo ndo inaanza kutoa huduma ya mikopo midogo midogo hivyo inahitaji mfanyakazi mwenye elimu ya diploma ya finance,Marketing, Accounting au Business Administration.
Muombaji anatakiwa awe amewahi kufanya kazi kama afisa mikopo kwenye Microfinances, awe anaufahamu wa kutumia microsoft word,excel na angalau mfumo mmojawapo wa kutoa mikopo, good customer care na administration skills.
Ofisi ina prefer zaidi mwannaume kuanzia miaka30.
Kwa atakayekuwa interested awasilishe maombi yake kwa meseji kwenye namba 0745292135.
Ukipiga simu haitapokelewa, tuma meseji tu na ukionekana na sifa utapigiwa simu kwa ajili ya mahojiano.