Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 4,139
- 4,640
Safi sana mkuu haya ni mabadiliko chanya kwenye sekta ya ajira binafsi kama hizi ZINGATIA tu na kwenye malipo angalao yawe manono pia😂1: Fani hizi inatolewa mafunzo na VETA kwa sasa, ukisoma sentensi husika imesema kuwa ni sifa ya faida/ziada/added advantage.
2: Ukiwekeza hela yako kufanya kitu kizuri/pesa hutumika. Ukiajiri kwa kukutana barabarani, ukilizwa ndo utakumbuka busara uliiacha wapi wakati wa kupata watenda kazi.
3: Kazi hii ikifanywa vyema/mazingira rafiki inawaingizia kipato vijana kuliko watu wengi tunaoenda ofisini/white collar jobs hivyo ni kuiheshimisha tu.