Nafasi ya Msemaji wa Timu za soka ifutwe, Haina tija yoyote

Nafasi ya Msemaji wa Timu za soka ifutwe, Haina tija yoyote

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Katika Muundo wa vilabu vingi vilivyoendelea Ulaya na kwingineko sijaona cheo cha Msemaji wa Timu, kwao kuna Mtendaji wa Timu na Kocha, hawa ndio wasemaji wa Timu, kwa maana ya kufafanua masuala kadhaa kwa ajili ya timu, Hakuna wapiga porojo.

Screenshot_2024-07-18-13-56-31-1.png


Nadhani kuna haja ya vilabu vyetu kuondoa hao wanaoitwa Wasemaji na hata wanaoitwa Mameneja, hawana lolote na hawasaidii chochote, Kocha anatosha kuwa Msemaji wa Timu.

Labda kama tunataka kuwapa ajira vijana basi tutafute vyeo vingine vinavyoeleweka tuwaajiri
 
Katika Muundo wa vilabu vingi vilivyoendelea Ulaya na kwingineko sijaona cheo cha Msemaji wa Timu, kwao kuna Mtendaji wa Timu na Kocha, hawa ndio wasemaji wa Timu, kwa maana ya kufafanua masuala kadhaa kwa ajili ya timu, Hakuna wapiga porojo.

View attachment 3045449

Nadhani kuna haja ya vilabu vyetu kuondoa hao wanaoitwa Wasemaji na hata wanaoitwa Mameneja, hawana lolote na hawasaidii chochote, Kocha anatosha kuwa Msemaji wa Timu.

Labda kama tunataka kuwapa ajira vijana basi tutafute vyeo vingine vinavyoeleweka tuwaajiri
Ungetupatia majukumu yake ili tuweze kupima kama hiyo nafasi inahitajika au lah au lama kweli vilabu vya Ulaya ni kweli havina hiyo nafasi au ilvina hiyo nafasi ila wewe ndiye haujui kama ndiyo hiyo
 
Kwahiyo kama jambo halifanywi na tImu za ulaya basi sisi kua nalo ni vibaya??

Lina athari zipi hasi kwenye maendeleo ya Mpira??

Kuna kanuni zipo EPL,Seria A hakuna..

Jambo hili letu na kwa Mpira wetu limefaa sana,manara kasaidia sana watu kupata muamko wa kwenda viwanjani....
 
Back
Top Bottom