Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
sawa tuTuanze na Ahmed Ally
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa tuTuanze na Ahmed Ally
Hakuna hiyo nafasi katika vilabu vya ulaya, kwenye timu za ulaya kocha ndiye msemaji wa timu katika mambo yote yanayohusu mpira.Ungetupatia majukumu yake ili tuweze kupima kama hiyo nafasi inahitajika au lah au lama kweli vilabu vya Ulaya ni kweli havina hiyo nafasi au ilvina hiyo nafasi ila wewe ndiye haujui kama ndiyo hiyo
Wanaleta hamasa sanaa ,Saiv league ya bongo nikama EplTutajie wewe sasa
Daaah!Wanaleta hamasa sanaa ,Saiv league ya bongo nikama Epl
Kwamba Kocha ndiye anayeratibu utambulisho wa wachezaji, community/fans engagements activities, matangazo n.k?Hakuna hiyo nafasi katika vilabu vya ulaya, kwenye timu za ulaya kocha ndiye msemaji wa timu katika mambo yote yanayohusu mpira.
Ndio hivy Mkuu Bila uwongo wao na ucheshi dhamn ya league yetu isingepanda,ingesubiria NgaziDaaah!
Jamani huu ni ushauri tu, MsinilogeIla ery maisha yako yote utaishi hauna raha
Yaan kila kitu ni makasiriko, ni kupinga full gubuJamani huu ni ushauri tu, Msiniloge
Ahmed Ally ndio amefanya nafasi ya msemaji kuwa comedy. Ujinga ulikolea kuanzia kwa Manara, ila sasa mrithi kapatikana. Kero nyingine ni ongezeko la wachambuzi wa soka wasiojielewa.Katika Muundo wa vilabu vingi vilivyoendelea Ulaya na kwingineko sijaona cheo cha Msemaji wa Timu, kwao kuna Mtendaji wa Timu na Kocha, hawa ndio wasemaji wa Timu, kwa maana ya kufafanua masuala kadhaa kwa ajili ya timu, Hakuna wapiga porojo.
View attachment 3045449
Nadhani kuna haja ya vilabu vyetu kuondoa hao wanaoitwa Wasemaji na hata wanaoitwa Mameneja, hawana lolote na hawasaidii chochote, Kocha anatosha kuwa Msemaji wa Timu.
Labda kama tunataka kuwapa ajira vijana basi tutafute vyeo vingine vinavyoeleweka tuwaajiri
Ali Kamwe punguza ukali wa manenoWe nae ni mpumbavu tu... Unaweza kutuambia hapo chadema a
Hamtaki mawazo mapya?Yaan kila kitu ni makasiriko, ni kupinga full gubu
hebu tutajie msemaji wa timu mojawapo kati ya hizi; real madrid fc/ac milan/ psv eindhoven/arsenal fc/monaco fc.Hiyo ni hitaji la dunia la FIFA
Wewe mleta mada utakuwa kama ni mwansume huwa unacheza mchezo wa kike wa netball sio football
Mpira wetu unaendelea kwa sababu ya hawa jamaa wasemaji. Nakuomba acheni kukariri maisha kwa kuangalia wengine wamefanya nini ndio kiwe kipimo cha maendeleo yenu.Katika Muundo wa vilabu vingi vilivyoendelea Ulaya na kwingineko sijaona cheo cha Msemaji wa Timu, kwao kuna Mtendaji wa Timu na Kocha, hawa ndio wasemaji wa Timu, kwa maana ya kufafanua masuala kadhaa kwa ajili ya timu, Hakuna wapiga porojo.
Wamefanya nini?Mpira wetu unaendelea kwa sababu ya hawa jamaa wasemaji. Nakuomba acheni kukariri maisha kwa kuangalia wengine wamefanya nini ndio kiwe kipimo cha maendeleo yenu.
Si alikuwa anamuuliza Bangula.... Unaenda wapi Bangula? Whi.. Whi whiYaani kwamba Ahmed Ally aende wapi kwa mfano?
Kwa nini wao Ulaya wasiige kwetu wakawa na wasemaji kama sisi.Katika Muundo wa vilabu vingi vilivyoendelea Ulaya na kwingineko sijaona cheo cha Msemaji wa Timu, kwao kuna Mtendaji wa Timu na Kocha, hawa ndio wasemaji wa Timu, kwa maana ya kufafanua masuala kadhaa kwa ajili ya timu, Hakuna wapiga porojo.
View attachment 3045449
Nadhani kuna haja ya vilabu vyetu kuondoa hao wanaoitwa Wasemaji na hata wanaoitwa Mameneja, hawana lolote na hawasaidii chochote, Kocha anatosha kuwa Msemaji wa Timu.
Labda kama tunataka kuwapa ajira vijana basi tutafute vyeo vingine vinavyoeleweka tuwaajiri