Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Jikite kwenye madaWe nae ni mpumbavu tu... Unaweza kutuambia hapo chadema a
umeguswa sehemu za mshono au?We nae ni mpumbavu tu... Unaweza kutuambia hapo chadema a
Ungetupatia majukumu yake ili tuweze kupima kama hiyo nafasi inahitajika au lah au lama kweli vilabu vya Ulaya ni kweli havina hiyo nafasi au ilvina hiyo nafasi ila wewe ndiye haujui kama ndiyo hiyoKatika Muundo wa vilabu vingi vilivyoendelea Ulaya na kwingineko sijaona cheo cha Msemaji wa Timu, kwao kuna Mtendaji wa Timu na Kocha, hawa ndio wasemaji wa Timu, kwa maana ya kufafanua masuala kadhaa kwa ajili ya timu, Hakuna wapiga porojo.
View attachment 3045449
Nadhani kuna haja ya vilabu vyetu kuondoa hao wanaoitwa Wasemaji na hata wanaoitwa Mameneja, hawana lolote na hawasaidii chochote, Kocha anatosha kuwa Msemaji wa Timu.
Labda kama tunataka kuwapa ajira vijana basi tutafute vyeo vingine vinavyoeleweka tuwaajiri
Mbona chadema mnamsemaji lakini hutaki nafasi tuifute?Jikite kwenye mada
Ni nani msemaji wa Chadema?Mbona chadema mnamsemaji lakini hutaki nafasi tuifute?
Yule fala mrema alihongwa bia na sugu ili ampendelee kwenye UchaguziNi nani msemaji wa Chadema?
Mrema ni Mkurugenzi wa ItifakiYule fala mrema alihongwa bia na sugu ili ampendelee kwenye Uchaguzi
Tutajie wewe sasaKwan Hawaleti benefits kwenye timu zao