Kweli kabisa kaka,
Siyo kila mwanamume ambaye anaonekana wa shoka, anaweza kuwa mume mzuri. Wakati suala la kujua kama mtu ni mume na dume la uhakika kabisa yanaonekana ndani ya nyumba zaidi, na yanamhusu mke, ila suala la kujua kama mtu ni mwanamume wa maana au la linaonekana hata nje ya nyumba....Katika hili suala tuonaongelea mume wa ukweli.
Hata sharobalo (ambaye watu wengi wanamwona kama mtu wa hovyo), anaweza kuwa na hizo sifa zote kwa mke wake!!
Yaani mwanamume usipokuwa imara na bahati mbaya ukawa unatoka kwenye familia kubwa na ambayo ina mavuvuzela wa kutosha, unaweza kumfanya mke hata asijue mume wake ni yupi....Yaani husband anabaki kuyumba tu kama debe tupu. That's not health kwa ndoa.
Binafsi, when it comes to my wife, nawaomba ndugu wote wanipe break kidogo....She is mine and only mine, and she belongs to a no go zone!!
There you are!!
MJ1,
Mie sina hakika. ila naamini kwamba baadhi ya wanaume wameshindwa kudeal na changamoto zinazoletwa na hii lifestyle impya. Badala yake wanatafuta visingizio. Ndiyo maana utasikia kuwa wanawake wengi ambao ni wasomi wa siku hizi hawaoleki. Ila naamini kuwa, wanaume wengi wanashindwa kudeal na mabadiliko yanayosababishwa na hali ya mwanamke kuwa empowered kielimu, kiuchumi na kimtazamo. Ninao washikaji wengi ambao hadi sasa wanasema kuwa wanawaogopa wasomi kama ukoma....
I personally wish my wife was a professor ili nione hicho wanachokiogopa!!
Heri ya mwaka mpya kwa wadau wote wa MMU,
Babu DC