Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Kwamba kuna mwanaume yuko na wewe kimahusiano halafu na yeye anajiona yuko mwanamke?? Basi mwanaume huyo ni fungu la kukosa na mgeni kabisa wa wanawake.

Mwanamke kama wewe sio tu kimahusiano, bali haufai kabisa hata kwa one night stand...

kuna redflags nyingi sana zinakuonesha wewe ni useless being, hebu ona kwanza ulivyokuwa mdomo mchafu, unabwabwaja maneno ovyoo tu yasiofaa na ukiyaelekeza kwa wanawake wenzio... hivi una akili wewe?

Kama kuna mwanaume yuko na wewe basi anahitaji kufanyiwa psychometric test, imekuwaje ana date na chizi.
Marioo ndo mmejazana humu hamuwezi kubishana na wasomi. One night stand anaiweza mama ako ndo maana humjui baba ako hadi leo. Sema yote maliza ila men like you are weak and are easily intimidated by strong women wala sina maelezo mengine ya kukupa. Stupid kabisa
 
Imagine mtu anakwambia hata kama ana kipato sawa au kumzidi kumzidi mume wake hayuko tayari kuchangia bill 50/50 just kwa sababu yeye ndio anabeba mimba na kuingia Labour ward kuleta mtoto, na aongea hivyo kwa kujiamin kabisa pasipo kuangalia kwamba hilo ni jukumu la biolojia ambalo haliwezi kuwa compromised kwa namna yoyote ile.... sasa huyo mtu ana akili kweli?

Anataka mwanaume astep up na kuplay zile traditional masculine duties zote wakati huo na yeye hayuko tayari kubaki kwenye femininity, afanye chochote anachojiskia kufanya na ukijaribu kupingana nae anatafsiri kwamba unamfanya mskule, na kikubwa zaidi anataka wewe baba/mume ndio uwe breadwinner na humo ndani muishi jinsi anavyotaka yeye.... ndio maana nasema kama kuna mwanaume yuko na huyu demu basi mwanaume huyo ni fungu la kukosa na lazimq atakuwa ni zezeta
We ni mpuuzi 🤣 sasa kukaa kwenye femininity ni kutokufanya kazi tu? Kumbe wanaume huyu ndo representative wenu? 🤣kumbe nyinyi ni weak and sooo inferior. Kwanini mnaogopa wanawake wanaofanya kazi!? Mnataka muwe mnawapiga physically and emotionally wasiwe na pa kwenda. Shenzii. Kazi tunafanya na 50/50 hatutaki. Mbona michepuko hamuwaambii watoe 50/50 mnahudumia 100/0 kaeni na weakness zenu let strong men lead strong women. Nyie marioo hela hamna kazi kelele tu mbona mme wa Mama samia hajamwambia aacha kazi wewe fisi ndo umekalisha kende huku unabwata kama jibwa koko: weak men don’t deserve my respect ntakuchamba hadi ukae pembeni shenzi
 
Kuna comments unazisoma hapa mpaka unajiuliza hivi huyu kweli naye wazazi wake walimlipia ada eti aende shule??
Nitafutie wanaume watatu tu ambao wanawake wao wapo nyumbani na wanawahudumia ipasavyo: unamkuta mwanamke kafubaa hana nuru maana hana kazi ya kujitunza mume yuko busy kavutiwa na michepuko ambayo wanaitunza wanapaka hata lotion nzuri. Yaani hii mada hadi Yesu ashuke ntasimama na msimamo wangu huu huu. - anaepaswa kumwachisha kazi mwanamke ni yule anaeweza kumhudumia vizuri sio unaacha buku asubuhi unategemea ukute chakula nyumbani. Wanaume ni wapuuzi kwa arguments zenu. Af msijichoshe kusema eti kuna mwanaume anaweza kuniweka ndani hiyo technique hainigusi wala kunisumbua maana nipo kwenye ndoa for 12 years now na naishi vizuri tu. Mume anahudumia familia yake vizuri mimi nafanya part yangu. Yani wanaume kiufupi tu hamjui anything about house welfares hamjui watoto wanavaa nini hamjui wageni wakija wanakuwa taken care of vipi, kuishi kwenye jamii wanawake wanachanga kiasi gani. Yote hayo hamjui hasa nyie mnaobishana na mimi hapa maana hamna ndoa what do you know? Au mnadhani bills ni maji na umeme tu? Oeni kwanza ndo mkaone hizo practicality ya vitu keyboard warriors wengi ni vitoto vya chuo au vipunga
 
Imagine mtu anakwambia hata kama ana kipato sawa au kumzidi kumzidi mume wake hayuko tayari kuchangia bill 50/50 just kwa sababu yeye ndio anabeba mimba na kuingia Labour ward kuleta mtoto, na aongea hivyo kwa kujiamin kabisa pasipo kuangalia kwamba hilo ni jukumu la biolojia ambalo haliwezi kuwa compromised kwa namna yoyote ile.... sasa huyo mtu ana akili kweli?

Anataka mwanaume astep up na kuplay zile traditional masculine duties zote wakati huo na yeye hayuko tayari kubaki kwenye femininity, afanye chochote anachojiskia kufanya na ukijaribu kupingana nae anatafsiri kwamba unamfanya mskule, na kikubwa zaidi anataka wewe baba/mume ndio uwe breadwinner na humo ndani muishi jinsi anavyotaka yeye.... ndio maana nasema kama kuna mwanaume yuko na huyu demu basi mwanaume huyo ni fungu la kukosa na lazimq atakuwa ni zezeta
Kwanini msioe wanawake ambao hawajasoma? Mbona simple? Kwanini umkute msichana amesoma hadi chuo anakazi yake unamuoa unamuachisha kazi unasema abaki nyumbani na kumtunza huwezi maana huwezi ku meet standards zake ulizomkuta nazo.

We kaoe mtoto wa shishiyu huko hajui hata smartphone mbona ndani anakaa fresh tu. Femininity mnayoitaka nyinyi ni unyanyasaji! Hawa wa Dar hamuwawezi wanaolewa na wanaume wanaojielewa tu
 
Marioo ndo mmejazana humu hamuwezi kubishana na wasomi. One night stand anaiweza mama ako ndo maana humjui baba ako hadi leo. Sema yote maliza ila men like you are weak and are easily intimidated by strong women wala sina maelezo mengine ya kukupa. Stupid kabisa
Kwamba na wewe nae ni msomi halafu eti unajiita strongo woman?? Wewe mbaye hata kupangilia hoja tu zikakaa katika mtiririko sahihi wa kimantiki zikaeleweka huwezi unajiota msomi? Una usomi gani mbuzi wa kafara wewe mwenye domo chafu kama choo cha stend?? Eti strong woman, labda strong psychopath.
Si mmesema mnaoa mwanamke wa nini. Zaeni basi tujue moja.
Ona sasa...?? Una umri gani kwanza wewe? Mbona akili huna hata kidogo?
We ni mpuuzi 🤣 sasa kukaa kwenye femininity ni kutokufanya kazi tu? Kumbe wanaume huyu ndo representative wenu? 🤣kumbe nyinyi ni weak and sooo inferior. Kwanini mnaogopa wanawake wanaofanya kazi!? Mnataka muwe mnawapiga physically and emotionally wasiwe na pa kwenda. Shenzii. Kazi tunafanya na 50/50 hatutaki. Mbona michepuko hamuwaambii watoe 50/50 mnahudumia 100/0 kaeni na weakness zenu let strong men lead strong women. Nyie marioo hela hamna kazi kelele tu mbona mme wa Mama samia hajamwambia aacha kazi wewe fisi ndo umekalisha kende huku unabwata kama jibwa koko: weak men don’t deserve my respect ntakuchamba hadi ukae pembeni shenzi
Ungekuwa wewe ni binadamu mwenye akili walau kidogo wala hata usingepata shida kuelewa mantiki yangu, ila kwa sababu bichwa lako liko empty limebeba ubongo usioweza kufanya kazi yake ipasavyo ndio maana unabwabwaja tu maneno ya ovyo na interpret maandishi yangu tofauti kabisa na maana kusudiwa, hakuna mahali mimi nimejaribu kuihusishanisha femininity na mwanamke kutofanya kazi, na ni wazi hujui kabisa hata maana ya neno lenyewe... na pia hakuna mahali mimi nimezungumzia masuala ya wanaume kuwapiga wanawake na pia sijui kwanini umemuingiza mama samia hapa.

Yaani umeitafsiri comment yangu nje kabisa ya context hili kufit narrative yako na kisha kuanza kutiririka maneno meengi yasiokuwa na maana hata kidogo... nao hao unaoishi nao wana tabu sana kuishi na kichwa kigumu kama hiki.

Kwa mtu mwenye uelewa wake ni rahisi sana kujua hapo niliposema ukitaka mwanaume abebe masculine duties ndani ya nyumba, basi hakikisha na wewe unabaki kwenye aiba yako ya kike(strong femininity) kwa maana ya kubeba majukumu yako yote ya kike na kuwa mtiifu kwake na sio kutunishiana nae misuli humo ndani..... na pia kama wote mnaingiza pesa ni ushenzi na unyonyaji kumuachia bills zote peke yake, unafanya kazi hili iweje sasa? Hizo hela uzitumie na nani?.

Kama hata basic understanding ndogo kama hii imekupita kushoto basi wewe ni zigo la mavi.

Na pia sihitaji kuheshimiwa na vichaa mimi... kawaheshimu vichaa wenzio sio mimi.
Kwanini msioe wanawake ambao hawajasoma? Mbona simple? Kwanini umkute msichana amesoma hadi chuo anakazi yake unamuoa unamuachisha kazi unasema abaki nyumbani na kumtunza huwezi maana huwezi ku meet standards zake ulizomkuta nazo.

We kaoe mtoto wa shishiyu huko hajui hata smartphone mbona ndani anakaa fresh tu. Femininity mnayoitaka nyinyi ni unyanyasaji! Hawa wa Dar hamuwawezi wanaolewa na wanaume wanaojielewa tu
Wapi ni nimeongelea habari za kumuachisha kazi mwanamke mimi? Kwamba mimi sitambui umuhimu wa elimu na kazi kwa mwanamke au?...Mbona unanilisha maneno wewe mwanamke?

Mbona uelewa wako ni finyu sana wewe mtu? Yaani hauna logical consistency wala comprehensive cognizance, yaani unasoma comments hili ujibu na sio kuelewa na mwisho wa siku unaishia kuandika vitu vya ajabu ajabu tu na kuonekana kama mtu aliyechanganyiwa au aliyevuta madawa ya kulevya.

Hapo mwisho nakubaliana na wewe Dar es Salaam hapa hakuna mwanamke wa kuoa, wapo wanawake wa kunywa nao bia tu na kufanya nao zinaa tu basi, na ndio maana masingle kibao huu mkoa.
 
Sijasoma mpaka mwisho ila Kuna Mwanaume na kuna Mwanaume mwenye umama huwezi shindwa kubadilisha. bulb au kubadilisba Gari tairi au kubadilisha Socket huyo atakuwa keshaukana ujinsia
 
We ni mpuuzi 🤣 sasa kukaa kwenye femininity ni kutokufanya kazi tu? Kumbe wanaume huyu ndo representative wenu? 🤣kumbe nyinyi ni weak and sooo inferior. Kwanini mnaogopa wanawake wanaofanya kazi!? Mnataka muwe mnawapiga physically and emotionally wasiwe na pa kwenda. Shenzii. Kazi tunafanya na 50/50 hatutaki. Mbona michepuko hamuwaambii watoe 50/50 mnahudumia 100/0 kaeni na weakness zenu let strong men lead strong women. Nyie marioo hela hamna kazi kelele tu mbona mme wa Mama samia hajamwambia aacha kazi wewe fisi ndo umekalisha kende huku unabwata kama jibwa koko: weak men don’t deserve my respect ntakuchamba hadi ukae pembeni shenzi
Huna akili. Hutaki kumsaidia mumewe 50/50 ktk kujenga familia yako alafu unajiona kabisa upo sawa
 
Kwamba na wewe nae ni msomi halafu eti unajiita strongo woman?? Wewe mbaye hata kupangilia hoja tu zikakaa katika mtiririko sahihi wa kimantiki zikaeleweka huwezi unajiota msomi? Una usomi gani mbuzi wa kafara wewe mwenye domo chafu kama choo cha stend?? Eti strong woman, labda strong psychopath.

Ona sasa...?? Una umri gani kwanza wewe? Mbona akili huna hata kidogo?

Ungekuwa wewe ni binadamu mwenye akili walau kidogo wala hata usingepata shida kuelewa mantiki yangu, ila kwa sababu bichwa lako liko empty limebeba ubongo usioweza kufanya kazi yake ipasavyo ndio maana unabwabwaja tu maneno ya ovyo na interpret maandishi yangu tofauti kabisa na maana kusudiwa, hakuna mahali mimi nimejaribu kuihusishanisha femininity na mwanamke kutofanya kazi, na ni wazi hujui kabisa hata maana ya neno lenyewe... na pia hakuna mahali mimi nimezungumzia masuala ya wanaume kuwapiga wanawake na pia sijui kwanini umemuingiza mama samia hapa.

Yaani umeitafsiri comment yangu nje kabisa ya context hili kufit narrative yako na kisha kuanza kutiririka maneno meengi yasiokuwa na maana hata kidogo... nao hao unaoishi nao wana tabu sana kuishi na kichwa kigumu kama hiki.

Kwa mtu mwenye uelewa wake ni rahisi sana kujua hapo niliposema ukitaka mwanaume abebe masculine duties ndani ya nyumba, basi hakikisha na wewe unabaki kwenye aiba yako ya kike(strong femininity) kwa maana ya kubeba majukumu yako yote ya kike na kuwa mtiifu kwake na sio kutunishiana nae misuli humo ndani..... na pia kama wote mnaingiza pesa ni ushenzi na unyonyaji kumuachia bills zote peke yake, unafanya kazi hili iweje sasa? Hizo hela uzitumie na nani?.

Kama hata basic understanding ndogo kama hii imekupita kushoto basi wewe ni zigo la mavi.

Na pia sihitaji kuheshimiwa na vichaa mimi... kawaheshimu vichaa wenzio sio mimi.

Wapi ni nimeongelea habari za kumuachisha kazi mwanamke mimi? Kwamba mimi sitambui umuhimu wa elimu na kazi kwa mwanamke au?...Mbona unanilisha maneno wewe mwanamke?

Mbona uelewa wako ni finyu sana wewe mtu? Yaani hauna logical consistency wala comprehensive cognizance, yaani unasoma comments hili ujibu na sio kuelewa na mwisho wa siku unaishia kuandika vitu vya ajabu ajabu tu na kuonekana kama mtu aliyechanganyiwa au aliyevuta madawa ya kulevya.

Hapo mwisho nakubaliana na wewe Dar es Salaam hapa hakuna mwanamke wa kuoa, wapo wanawake wa kunywa nao bia tu na kufanya nao zinaa tu basi, na ndio maana masingle kibao huu mkoa.
Sijasoma utopolo wako maana ni ushuzi mtupu wanaume hamjielewi kama mnataka kuwa wanaume au mnataka 50/50
 
Kwa mtu mwenye uelewa wake ni rahisi sana kujua hapo niliposema ukitaka mwanaume abebe masculine duties ndani ya nyumba, basi hakikisha na wewe unabaki kwenye aiba yako ya kike(strong femininity) kwa maana ya kubeba majukumu yako yote ya kike na kuwa mtiifu kwake na sio kutunishiana nae misuli humo ndani..... na pia kama wote mnaingiza pesa ni ushenzi na unyonyaji kumuachia bills zote peke yake, unafanya kazi hili iweje sasa? Hizo hela uzitumie na nani?.
Mnataka mwanaume awe provider? basi tokeni uko maofisini muwe mama wa nyumbani au mnataka 50/50? basi bill za nyumbani zilipwe na wote.
Muhimbu sio wewe uliekua unapeana support na huyu Natafuta Ajira ? Isn’t this your stand au saizi unaona huna hoja mmeanza kukanana tena ndo maana nawaambia most men mmekua tu intimidated kiasi kwamba you just don’t wish to see women working for themselves
Anataka mwanaume astep up na kuplay zile traditional masculine duties zote wakati huo na yeye hayuko tayari kubaki kwenye femininity,
Nani aliongelea kutoka kwenye femininity? Wewe quote comment yangu niliyosema hivyo ilete. Mwanamke kubaki kwenye femininity haiji na kuwa provider hilo kaa ulitambue. Mmeamua kuwa masculine men bebeni hilo furushi. Kwa taarifa yako a woman who is safe in the hands of a smart man will do beyond expectations tena hata hutouliza mshahara ila mnavyojifanyaga wababe ndo mwanamke anasafiria nyota anatulia akuache upambane na mzigo.

Nikuulize tu ushawahi kuona mwanamke ana kazi af watoto wake wamerudishwa ada? Most women now are sole providers of their families wanawafichia aibu wanaume zao mnajikaza tu hapa hamtaki kusema ukweli but that is the sad truth mwanaume akishakuona unafanya kazi anabweteka. Kila siku analia shida. Wanawake watoke kwenye mfumo wa 50/50 kazi wafanye wawatengenezee watoto wao maisha nyie mbwa hamna shukrani.
Wapi ni nimeongelea habari za kumuachisha kazi mwanamke mimi? Kwamba mimi sitambui umuhimu wa elimu na kazi kwa mwanamke au?...Mbona unanilisha maneno wewe mwanamke?
 
Bro kua serious basi yani mwanaume kushindwa kupachika bulb na mke akaweza, huyo mwanaume atadharaulika kwa hilo??
Yaani mwanamke akudharau kisa umeshindwa kubadili tairi la gari??

Basi mwanamke wa hivyo anakua ni kilaza wahead, mi nilidhani utaanza kwa kusema mume ambae hahudumii familia.

Vipi kwa wanaume walemavu? Ambao hawaoni na wameoa mke anaeona, wenye ulemavu wa miguu na wameoa mke mzima, walemavu wa mikono etc hao nao unawaweka kundi gani??

Hizo kazi zina watu wake, binafsi natamani nioe mke mwenye ABC kuhusu afya kwasababu mimi upande huo sipo kabisa, sina nielewalo kuhusu magonjwa, hapo napo mke anidharau kwa kumuita daktari amtibu??

Kuna wanawake ni mechanics, wanajua mengi upande huo kuliko wanaume wengi, mbona umewadharau wanawake namna hiyo kijana, kwamba wao hawawezi kitu bila msaada wa mwanaume??

Mwanaume ni akili sio nguvu, ni kwa namna gani unasolve matatizo yako kiume na sio miguvu ya kufyeka uwanja, kubadili tairi ya gari na bulb.

Na pia usijidanganye kua wale "dad am going" ati sijui wanalelewa vibaya, wakikua watakua na familia mbofu mbofu, ni wivu tu ila deepdown waliolelewa hivyo huishi vyedi almost maisha yao yote.
Kumpa mwanao mikazi migumu sio guarantee ya yeye kuja kua mpambanaji anaweza kua teja, kibaka au mkabaji. Kwenye hili tafuta pesa mwanao aishi kitajiri.
Nyie ni hata hamto@@@@mbi mpo tu , kutunza familia zeroooooo
 
Asante Bro. Japo mimi ni KE.

Huu uzi hauwezi kutembea kwasababu ni ukweli ambao wanaume wengi hawataki kuusema wala kuusikia. wanapenda ku attack wanawake wanaofanya kazi kuwaita feminists na kwamba wanashindana na wanaume. Huwa inanichemsha wakati ukweli upo wazi kabisa.

Nimejaribu tu kuainisha baadhi ya sababu nnazoziona najua wanawake Wengine nao wameona experience kwengine.

Sisi ndo wa kuirudisha nature. Personally mwanaume akinitamkia anataka tugawane majukumu 50/50 namuona ana shida. Let it be automatic I can’t be the second bull in the house. Obviously kuna vitu mwanamke kama anauwezo atafanya tu kama kupamba nyumba, kuhakikisha jiko na vitu viko on point, wageni wakija wakute nyumba safi na chakula kimeandaliwa kwenye mandhari safi yani hivi vyote mwanaume hajui gharama yake lakini ukikuta mwanamke ana kazi yake, ananunua vyombo vya bei mbaya ili wageni wako wakija wapewe chakula kwenye mazingira safi na hata mume anajiskia vizuri. Mfano, mimi mr hajui hata bei ya sahani wala glass za kimjini. alizonunua yeye zile za 3000 moja anaona zinatosha mimi napenda kitu tofauti na nikajua mwanaume anaetunza familia ukimwambia akuletee set ya elegant glass wanauza decanter na glass zake hadi 180,000 lazima mpopoane. Mi sioni ubahili kununua hivyo because it’s my house and I want it classy. Kuna hotpot za laki sita ukimwambia bro anunue anaweza kukupasua😂 mi naelewa kwanini nazitaka hizo wakija ndugu zake ndo nawawekea humo wanamsifia hadi bichwa linataka kupasuka😂 sasa ela yangu hapo hata haiumi kutoa ila ukiniambia tu nilipe bills naona kama unataka unitoe kwenye umama niwe baba lazima pavurugike amani😂 labda awe amekwama na kwa kuwa najua kipato chake wala hatusumbuani. Wanangu wakipendeza na nyumba ikiwaka roho yangu inatulia. Samahani nimekupa mfano wa kike sana ila nilitaka uone ka reality flani.

It’s the little things yani majukumu yanajigawa automatically hata iweje no one can change familia kuwa into 50/50. Wanaume wanatakiwa waturuhusu tuwe In our feminine era. I hope they get to see the point. 🤝
Well said
 
Back
Top Bottom