Marioo ndo mmejazana humu hamuwezi kubishana na wasomi. One night stand anaiweza mama ako ndo maana humjui baba ako hadi leo. Sema yote maliza ila men like you are weak and are easily intimidated by strong women wala sina maelezo mengine ya kukupa. Stupid kabisa
Kwamba na wewe nae ni msomi halafu eti unajiita strongo woman?? Wewe mbaye hata kupangilia hoja tu zikakaa katika mtiririko sahihi wa kimantiki zikaeleweka huwezi unajiota msomi? Una usomi gani mbuzi wa kafara wewe mwenye domo chafu kama choo cha stend?? Eti strong woman, labda strong psychopath.
Si mmesema mnaoa mwanamke wa nini. Zaeni basi tujue moja.
Ona sasa...?? Una umri gani kwanza wewe? Mbona akili huna hata kidogo?
We ni mpuuzi 🤣 sasa kukaa kwenye femininity ni kutokufanya kazi tu? Kumbe wanaume huyu ndo representative wenu? 🤣kumbe nyinyi ni weak and sooo inferior. Kwanini mnaogopa wanawake wanaofanya kazi!? Mnataka muwe mnawapiga physically and emotionally wasiwe na pa kwenda. Shenzii. Kazi tunafanya na 50/50 hatutaki. Mbona michepuko hamuwaambii watoe 50/50 mnahudumia 100/0 kaeni na weakness zenu let strong men lead strong women. Nyie marioo hela hamna kazi kelele tu mbona mme wa Mama samia hajamwambia aacha kazi wewe fisi ndo umekalisha kende huku unabwata kama jibwa koko: weak men don’t deserve my respect ntakuchamba hadi ukae pembeni shenzi
Ungekuwa wewe ni binadamu mwenye akili walau kidogo wala hata usingepata shida kuelewa mantiki yangu, ila kwa sababu bichwa lako liko empty limebeba ubongo usioweza kufanya kazi yake ipasavyo ndio maana unabwabwaja tu maneno ya ovyo na interpret maandishi yangu tofauti kabisa na maana kusudiwa, hakuna mahali mimi nimejaribu kuihusishanisha femininity na mwanamke kutofanya kazi, na ni wazi hujui kabisa hata maana ya neno lenyewe... na pia hakuna mahali mimi nimezungumzia masuala ya wanaume kuwapiga wanawake na pia sijui kwanini umemuingiza mama samia hapa.
Yaani umeitafsiri comment yangu nje kabisa ya context hili kufit narrative yako na kisha kuanza kutiririka maneno meengi yasiokuwa na maana hata kidogo... nao hao unaoishi nao wana tabu sana kuishi na kichwa kigumu kama hiki.
Kwa mtu mwenye uelewa wake ni rahisi sana kujua hapo niliposema ukitaka mwanaume abebe masculine duties ndani ya nyumba, basi hakikisha na wewe unabaki kwenye aiba yako ya kike(strong femininity) kwa maana ya kubeba majukumu yako yote ya kike na kuwa mtiifu kwake na sio kutunishiana nae misuli humo ndani..... na pia kama wote mnaingiza pesa ni ushenzi na unyonyaji kumuachia bills zote peke yake, unafanya kazi hili iweje sasa? Hizo hela uzitumie na nani?.
Kama hata basic understanding ndogo kama hii imekupita kushoto basi wewe ni zigo la mavi.
Na pia sihitaji kuheshimiwa na vichaa mimi... kawaheshimu vichaa wenzio sio mimi.
Kwanini msioe wanawake ambao hawajasoma? Mbona simple? Kwanini umkute msichana amesoma hadi chuo anakazi yake unamuoa unamuachisha kazi unasema abaki nyumbani na kumtunza huwezi maana huwezi ku meet standards zake ulizomkuta nazo.
We kaoe mtoto wa shishiyu huko hajui hata smartphone mbona ndani anakaa fresh tu. Femininity mnayoitaka nyinyi ni unyanyasaji! Hawa wa Dar hamuwawezi wanaolewa na wanaume wanaojielewa tu
Wapi ni nimeongelea habari za kumuachisha kazi mwanamke mimi? Kwamba mimi sitambui umuhimu wa elimu na kazi kwa mwanamke au?...Mbona unanilisha maneno wewe mwanamke?
Mbona uelewa wako ni finyu sana wewe mtu? Yaani hauna logical consistency wala comprehensive cognizance, yaani unasoma comments hili ujibu na sio kuelewa na mwisho wa siku unaishia kuandika vitu vya ajabu ajabu tu na kuonekana kama mtu aliyechanganyiwa au aliyevuta madawa ya kulevya.
Hapo mwisho nakubaliana na wewe Dar es Salaam hapa hakuna mwanamke wa kuoa, wapo wanawake wa kunywa nao bia tu na kufanya nao zinaa tu basi, na ndio maana masingle kibao huu mkoa.