Nafasi ya tatu kwenye mashindano mengi ni ya kisiasa tu Haina maana yoyote.Fifa waondoe hii

Nafasi ya tatu kwenye mashindano mengi ni ya kisiasa tu Haina maana yoyote.Fifa waondoe hii

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Habarini wadau wa soka.

FIFA wangeanza kwa kuondoa hii nafasi ya tatu kwenye mashindano haya ya kombe la dunia then wengine wangefuata.

Sioni maana ya hii nafasi zaidi ya kupoteza muda na kujichosha tu.Labda iwe kwa ajili ya kupata pesa tu.
Dhumuni la timu ni kucheza fainali na sio kucheza kutafuta nafasi ya tatu.Hata morari ya mechi yenyewe inakuwa hakuna.

Nguvu ya wachezaji huwa inakwisha kabisa pale wanapotolewa kwenye nusu fainali.Huwa wanalia wengine,biashara ndio huwa imeishia pale.Nafasi ya tatu ni kupoteza muda na nguvu bure.
Mi ningeshauri FIFA watoe tu zawadi kwa timu zilozotolewa kwenye nusu fainali.Na sio kutafuta mshindi wa tatu.Kifupi hizo ndio the best timu kwenye mashindano yoyote.Nguvu yao yote kwenye nusu fainali ni kutaka kuingia fainali.Inapotokea bahati mbaya basi huwa wachezaji wanakosa morari kabisa.

FIFA itoe zawadi Kama the best timu zilizoingia nusu fainali na kuzipongeza.

Tukiachana na Hilo kwenye mechi ya fainal Kama ufaransa wakimdhibiti Messi basi watakuwa mabingwa.Messi ndio huwa na makabrasha mengi kule mbele yanayoleta matatizo.Nawatakia ubingwa waafrika wenzetu ufaransa..
Kila la heri kina mbappe.
 
Mashindano mengi ya kimataifa kunatoka medali 3, Dhahabu, Fedha na Shaba, je wakitoa Mshindi wa tatu nani atapewa medali ya Shaba?

World cup chimbuko lake ni olympic ambapo hizo medali hutolewa.
 
Umeongea point ya msingi sana. Baada ya kutoleta nusu final morali ya wachezaji wa timu zilizofungwa huwa zimeshuka, pia hata hamasa ya washabiki Huwa haipo tena..
Ndio maana watu wanaojua mpira (wazungu wa ulaya) huwezi kukuta iyo kitu mshindi wa tatu.. Anzia mashindano ya European championship tournament ( Euros ), UEFA champions league, Europa league, Nation league n.k
Na walifanya hivyo baada ya kuona hakuna mashabiki wanaoenda uwanjani kuangalia mshindi wa tatu, hata wachezaji nyota Huwa hawako tayari kuendelea kubakia kambini kusubili kucheza mshindi wa tatu...
Fifa waachane na hii mechi ya mshindi wa tatu haina tija yoyote ile
 
Umeongea point ya msingi sana. Baada ya kutoleta nusu final morali ya wachezaji wa timu zilizofungwa huwa zimeshuka, pia hata hamasa ya washabiki Huwa haipo tena..
Ndio maana watu wanaojua mpira (wazungu wa ulaya) huwezi kukuta iyo kitu mshindi wa tatu.. Anzia mashindano ya European championship tournament ( Euros ), UEFA champions league, Europa league, Nation league n.k
Na walifanya hivyo baada ya kuona hakuna mashabiki wanaoenda uwanjani kuangalia mshindi wa tatu, hata wachezaji nyota Huwa hawako tayari kuendelea kubakia kambini kusubili kucheza mshindi wa tatu...
Fifa waachane na hii mechi ya mshindi wa tatu haina tija yoyote ile
Umeongea la msingi ila hapo uliposema watu wanaojua mpira ni wazungu wa ulaya. Najiuliza viongozi wa FIFA ni wazungu wa wapi kiasi kwamba wao hawapo kwenye kundi la kuujua mpira? La pili ni kwamba kawaida champions league nyingi hazina mfumo wa kutafuta mshindi wa tatu. Hata CAF ipo hivyo pia vipi hawa viongozi wa CAF nao ni wazungu wa ulaya?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Caf ndiyo inamechi za hovyo na mashindano ya hovyo sana kuliko bara lingine lolote, anza kwanza kuishauri caf.
Nilisikia pia caf wamekubali super league, ujinga mtupu.
Unakataa super league jina ama unakataa super league mfumo?

1. Super league ya ulaya
Hii imekataliwa si sababu ya jina super league, bali mfumo wake. Michuano hii haina kushuka daraja wala merit, timu zinachaguana wenyewe kwa umaarufu tu. Hii inspiration imetoka Marekani ambazo league zao timu ni hizo hizo. Kwa mabilionea hili ni jambo zuri kwao sababu akinunua timu uhakika kupata hela hata kama timu yake inafanya vibaya.

2. Super league ya Africa imetengenezwa na Fifa hii ni merit based, timu yenye kiwango ndio itashiriki, japo inaitwa super league haifanani kimfumo na hio ya ulaya. Na pia imetengemezwa hapa hapa Tz hapo Arusha.

Super league ya Africa kila mwanachama atapata 1m usd haijalishi kashiriki ama hajashiriki, na prize money kwa wote ni 100m usd na mshindi anakula 11m usd, ni hela nyingi sana hizi kwa Africa, inakimbizana na Europa conference league.
 
Mashindano mengi ya kimataifa kunatoka medali 3, Dhahabu, Fedha na Shaba, je wakitoa Mshindi wa tatu nani atapewa medali ya Shaba?

World cup chimbuko lake ni olympic ambapo hizo medali hutolewa
Kama zawadi wapewe tu wote wawili hizo Shaba.
 
Habarini wadau wa soka.

FIFA wangeanza kwa kuondoa hii nafasi ya tatu kwenye mashindano haya ya kombe la dunia then wengine wangefuata.

Sioni maana ya hii nafasi zaidi ya kupoteza muda na kujichosha tu.Labda iwe kwa ajili ya kupata pesa tu.
Dhumuni la timu ni kucheza fainali na sio kucheza kutafuta nafasi ya tatu.Hata morari ya mechi yenyewe inakuwa hakuna.

Nguvu ya wachezaji huwa inakwisha kabisa pale wanapotolewa kwenye nusu fainali.Huwa wanalia wengine,biashara ndio huwa imeishia pale.Nafasi ya tatu ni kupoteza muda na nguvu bure.
Mi ningeshauri FIFA watoe tu zawadi kwa timu zilozotolewa kwenye nusu fainali.Na sio kutafuta mshindi wa tatu.Kifupi hizo ndio the best timu kwenye mashindano yoyote.Nguvu yao yote kwenye nusu fainali ni kutaka kuingia fainali.Inapotokea bahati mbaya basi huwa wachezaji wanakosa morari kabisa.

FIFA itoe zawadi Kama the best timu zilizoingia nusu fainali na kuzipongeza.

Tukiachana na Hilo kwenye mechi ya fainal Kama ufaransa wakimdhibiti Messi basi watakuwa mabingwa.Messi ndio huwa na makabrasha mengi kule mbele yanayoleta matatizo.Nawatakia ubingwa waafrika wenzetu ufaransa..
Kila la heri kina mbappe.
Morari = Morali.
 
Watu wengine bwana yani ww upo hapo ifakara umevimbiwa pepeta utoe ushauri kwa wamba/wataalam wa FIFA!!
Muda mwingine tujitahidi kuficha upumbavu wetu.
Nothing personal just saying..
Hii ngoma haitoki mbeya, itakuwa imetoka chato mkuu.
 
Habarini wadau wa soka.

FIFA wangeanza kwa kuondoa hii nafasi ya tatu kwenye mashindano haya ya kombe la dunia then wengine wangefuata.

Sioni maana ya hii nafasi zaidi ya kupoteza muda na kujichosha tu.Labda iwe kwa ajili ya kupata pesa tu.
Dhumuni la timu ni kucheza fainali na sio kucheza kutafuta nafasi ya tatu.Hata morari ya mechi yenyewe inakuwa hakuna.

Nguvu ya wachezaji huwa inakwisha kabisa pale wanapotolewa kwenye nusu fainali.Huwa wanalia wengine,biashara ndio huwa imeishia pale.Nafasi ya tatu ni kupoteza muda na nguvu bure.
Mi ningeshauri FIFA watoe tu zawadi kwa timu zilozotolewa kwenye nusu fainali.Na sio kutafuta mshindi wa tatu.Kifupi hizo ndio the best timu kwenye mashindano yoyote.Nguvu yao yote kwenye nusu fainali ni kutaka kuingia fainali.Inapotokea bahati mbaya basi huwa wachezaji wanakosa morari kabisa.

FIFA itoe zawadi Kama the best timu zilizoingia nusu fainali na kuzipongeza.

Tukiachana na Hilo kwenye mechi ya fainal Kama ufaransa wakimdhibiti Messi basi watakuwa mabingwa.Messi ndio huwa na makabrasha mengi kule mbele yanayoleta matatizo.Nawatakia ubingwa waafrika wenzetu ufaransa..
Kila la heri kina mbappe.
We utakua mmorocco. Tulia. Bravo Crotia
 
Watu wengine bwana yani ww upo hapo ifakara umevimbiwa pepeta utoe ushauri kwa wamba/wataalam wa FIFA!!
Muda mwingine tujitahidi kuficha upumbavu wetu.
Nothing personal just saying..
Unaweza Kukuta Yupo Igangabhilili Itilima Ama Mulyabhibhi Uvinza Huko
 
Back
Top Bottom