Habarini wadau wa soka.
FIFA wangeanza kwa kuondoa hii nafasi ya tatu kwenye mashindano haya ya kombe la dunia then wengine wangefuata.
Sioni maana ya hii nafasi zaidi ya kupoteza muda na kujichosha tu.Labda iwe kwa ajili ya kupata pesa tu.
Dhumuni la timu ni kucheza fainali na sio kucheza kutafuta nafasi ya tatu.Hata morari ya mechi yenyewe inakuwa hakuna.
Nguvu ya wachezaji huwa inakwisha kabisa pale wanapotolewa kwenye nusu fainali.Huwa wanalia wengine,biashara ndio huwa imeishia pale.Nafasi ya tatu ni kupoteza muda na nguvu bure.
Mi ningeshauri FIFA watoe tu zawadi kwa timu zilozotolewa kwenye nusu fainali.Na sio kutafuta mshindi wa tatu.Kifupi hizo ndio the best timu kwenye mashindano yoyote.Nguvu yao yote kwenye nusu fainali ni kutaka kuingia fainali.Inapotokea bahati mbaya basi huwa wachezaji wanakosa morari kabisa.
FIFA itoe zawadi Kama the best timu zilizoingia nusu fainali na kuzipongeza.
Tukiachana na Hilo kwenye mechi ya fainal Kama ufaransa wakimdhibiti Messi basi watakuwa mabingwa.Messi ndio huwa na makabrasha mengi kule mbele yanayoleta matatizo.Nawatakia ubingwa waafrika wenzetu ufaransa..
Kila la heri kina mbappe.
FIFA wangeanza kwa kuondoa hii nafasi ya tatu kwenye mashindano haya ya kombe la dunia then wengine wangefuata.
Sioni maana ya hii nafasi zaidi ya kupoteza muda na kujichosha tu.Labda iwe kwa ajili ya kupata pesa tu.
Dhumuni la timu ni kucheza fainali na sio kucheza kutafuta nafasi ya tatu.Hata morari ya mechi yenyewe inakuwa hakuna.
Nguvu ya wachezaji huwa inakwisha kabisa pale wanapotolewa kwenye nusu fainali.Huwa wanalia wengine,biashara ndio huwa imeishia pale.Nafasi ya tatu ni kupoteza muda na nguvu bure.
Mi ningeshauri FIFA watoe tu zawadi kwa timu zilozotolewa kwenye nusu fainali.Na sio kutafuta mshindi wa tatu.Kifupi hizo ndio the best timu kwenye mashindano yoyote.Nguvu yao yote kwenye nusu fainali ni kutaka kuingia fainali.Inapotokea bahati mbaya basi huwa wachezaji wanakosa morari kabisa.
FIFA itoe zawadi Kama the best timu zilizoingia nusu fainali na kuzipongeza.
Tukiachana na Hilo kwenye mechi ya fainal Kama ufaransa wakimdhibiti Messi basi watakuwa mabingwa.Messi ndio huwa na makabrasha mengi kule mbele yanayoleta matatizo.Nawatakia ubingwa waafrika wenzetu ufaransa..
Kila la heri kina mbappe.