Nafasi ya tatu kwenye mashindano mengi ni ya kisiasa tu Haina maana yoyote.Fifa waondoe hii

Wivu huo hamia Morocco
 
Kazi kweli kweli mtu yupo kiburugwa anampangia mtu aliyekuwa Qatar cha kufanya wakati nchi yake ina matatizo kibao leo tumeangalia mpira kama tupo vitani machuma kila sehemu.
 
Sioni maana ya hii nafasi zaidi ya kupoteza muda na kujichosha tu.Labda iwe kwa ajili ya kupata pesa tu.
Lengo la hayo mashindano ni kupata pesa pia...hivyo ikiwepo sio tatizo.

Nawatakia ubingwa waafrika wenzetu ufaransa..
Kila la heri kina mbappe.
Wale ni Wafaransa tu, sio waafrika wenzako..... waafrika wenzako walishaaga michuano kitambo.
 
Morali gani unazungumzia.ulishawai kucheza mashindsno gani hadi uone nafasi ya tatu wachezaji wanakua hawana morali.Hizi hisia zetu kwa sisi tulioshindwa kila kitu usifikiri iko kwa wote wenye moyo na jitihada zakupambana.Kwa wenzetu kila hatua moja juu ni mafanikio na ni kumbukumbu wanaweka ili watumie tena kama kioo mashindano mengine.Kwahiyo unachokiongea wewe ni hisia zako kwa wewe uliyeshindwa sio kwa wale wanaojua nini maana ya mashindano.
 
Wabongo kwa ujuaji huwezi, mechi ya jana watu wamecheza kama final, wenzetu hata friendly match wanakaza sijui anataka kuongea nini huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…