mambo_safi
Senior Member
- Jul 22, 2019
- 176
- 440
Kila siku lazima nicheki necta nakuta hamna kitu!Inawezekana zikatoka mwezi wa 5
Kuwa na subira mkuu yatatokaKila siku lazima nicheki necta nakuta hamna kitu!
Basi si watoe hayo majina tujiandae mapema?Hiyo sio kazi ya necta nikazi ya tamisemi
Umekubaliana na nani ?Una haraka sana, tulishakubaliana kuwa Kidato cha Tano na Sita ni kupoteza muda tu.
Wenye akili timamu.Umekubaliana na nani ?
Elimu bure unajiandaa nini?Basi si watoe hayo majina tujiandae mapema?
Necta awausiki ni tamisemiKila siku lazima nicheki necta nakuta hamna kitu!
Tc early JuneYata toka lini?