Nafasi ya Yanga kwenda kushiriki kimataifa imeyeyuka

Tatu: Zipo njia nyingi mbadala wa Quarantine 14 days, unaweza kwenda na Kipimo ulichopimwa 14 days ukiwa huko ulikotoka na siku unaingia unapimwa tena hapohapo ndio mnaingia.
Hakuna kitu kama hicho na hizo sababu nyingine mbili ilizozitaja, unakuwa unarudi palepale kwa sababu inawezekana ikawa kinyume na unavyofikiri.
Kwa ufupi, hakuna uhakika wa haya mashindano kufanyika.
 
Tumefanya usajili mzuri msimu huu,usajili wenye thamani ya billioni 2.5 mmmhh siamini Kama tumekosa nafasi ya kushiriki kombe la shirikisho Afrika msimu huu.[emoji881] Katia kitumbua chetu mchanga na yule [emoji350]mpiga kelele wao MANARA atatupiga vijembe [emoji25][emoji25][emoji25]
 
Mbona sisi Yanga hatukuwa na hiyo nafasi? Hayo mengine ilikuwa ni ya kufikirika tu!? Poleni sana tumewafunika mbaya hadi mnalazimisha vitu ambavyo hata Fundi Carlinhos anajua! By the way Kuku kishingo anaendeleaje baada ya kuzabuliwa vibao na terminator!?
 
Hiyo habari nye ndo mmezusha kwa vile hamna kazi za kufanya
 
tutaenda kwa nguvu zetu wenyewe
 
Inawezekana michuano ikachezwa nchi moja si ajabu ikawa Tanzania maana imeonekana ni salama
 
π™½πšŠ 𝚠𝚠 πšŒπšŠπš•πš’πš—πš‘πš˜ πšŠπš—πšŠπšŽπš—πšπšŽπš•πšŽπšŠπš“πšŽ πš‹πšŠπšŠπšπšŠ 𝚒𝚊 πš”πšžπšπš˜πš–πšŠ πš”πšžπšœπš‘πšŽπšŠ πšŒπš‘πšžπš–πš‹πšŠ πš”πš’πš–πš˜πš“πšŠ πš—πšŠ πšƒπš˜πš—πš˜πš–πš‹πšŽ
 
Hakuna kitu kama hicho na hizo sababu nyingine mbili ilizozitaja, unakuwa unarudi palepale kwa sababu inawezekana ikawa kinyume na unavyofikiri.
Kwa ufupi, hakuna uhakika wa haya mashindano kufanyika.
Yasipofanyika mwaka huu mwakani yakifanyika wanaenda mabingwa wa mwaka uliopita kwa hiyo hata mwakani hauna nafasi maana ubingwa haupati labda mwaka keshokutwa
 
Yasipofanyika mwaka huu mwakani yakifanyika wanaenda mabingwa wa mwaka uliopita kwa hiyo hata mwakani hauna nafasi maana ubingwa haupati labda mwaka keshokutwa
Kwani mwaka jana Mnyero FC walishiriki?
 
Yasipofanyika mwaka huu mwakani yakifanyika wanaenda mabingwa wa mwaka uliopita kwa hiyo hata mwakani hauna nafasi maana ubingwa haupati labda mwaka keshokutwa
πš‚πš’πš˜ πš–πš πšŠπš”πšŠ πš”πšŽπšœπš‘πš˜ πš”πšžπšπš πšŠ πš–πš πšŠπš–πš‹πš’πšŽ πš–πš™πš” 2030 πš—πšπš’πš˜ πšπšžπšπšŠπšπš’πš”πš’πš›πš’πšŠ πš”πšžπš–πšžπšŠπšŒπš‘πš’πšŠ πš—πšŠ 𝚒𝚒 πšŠπš—πš’πšŠπš—πš’πšžπšŽ πš”πš πšŠπš™πšŠ
 
Hakuna Yanga aliyetaka mechi za CAF..watu wanataka taji lao la VPL..kama walivyofanya Real Madrid msimu uliopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…