Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kwa hiyo unataka kusema wanachuo wote hawakupitia hiyo olevel na wameanza tumia smart baada ya kupata boom. Unajua ufanisi wa kutumia simu na computer kwa mtu wa chuo na wa mtaani ni tofauti
Sijasema wanachuo wote ndugu,ila ninachosema kujulikana ni muhimu pia unahis kama uchaguz ulikua unazingua alafu posti kodi ukaonesha uvivu kupitia ripoti yako kila siku je mtendaji mwenye akili timamu atakuchukua na kuacha wachapa kazi kisa una degree?
Haiwezekani,pia swala la simu na computer lipo kwenye upande wa interest zaidi kama hauna interest ya viti ivyo huwezi ju hata kuna kitu kinaitwa whatsapp web.
 
Mimi nina wazo!
Kama vipi Kila mmoja aweke jina lake na sehemu aliyoomba na nafasi,
Halafu tutengeneneze pdf yetu Kila mmoja awepo halafu tunaiprint tunawapelekea nbs au mnaonaje
Kabisa dah hahahahahha
 
Mimi niuze japo jicho,acha bange dogo sie tunafikiria kuwauzia japo toys hawa jobless watakaoshika laki 9 kwa Mara ya 1 toka waje Duniani wakiwa uchi
Sisi jobless sio washamba kiasi hicho wapo walioshika zaidi ya hilo

Achilia mbali boom tulilolila chuo kikuu (meals and accomodations + stationary)
 
Nmepitia comments zako mbili za mwisho, nmejiridhisha pasina shaka kuwa una chuki na degree holders, unaleta kigezo cha kujuana na watendaji mara wameanza kutumia smartphone wakiwa chuo... Mkuu stay calm hauna point yoyote tukutane kwenye usaili.

Over.
 
Sawa mkuu.
 
Sasa ana shida gani na degree za watu? anajua walizipataje? hana budi kukaa kwa kutulia.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kujuana republic.
 
Msimu huu hapana aseee

imagine kuwa shabiki wa Liverpool ukose ubingwa wa EPL, na UEFA then uwe shabiki wa simba ukose Ligi kuu na kombe la azam at the same time uwe ni muhimu wa elimu ya juu ualimu pdf la TAMISEMI nalo ukose

yaani umebakiza Sensa tu nayo itakuacha
 
Watendaji watashiriki semina ya Makarani na wasimamizi itakayofanyika tarehe 29 mpaka 18 mwezi ujao. Idadi ya wakufunzi ilikuwa ndogo, hivi karibuni wamewachkua Maafisa Maendeleo na hivi sasa wako semina Dom.

Kwahiyo, kilichobaki Ni majina tu ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…