Candy kisses
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 297
- 210
Tunasubiri malipo mpaka leo kimyaWatawadhulumu huko kama wale wa kampeni ya polio shauri lenu angalizo hilo
Na.1Kwa wale mtakaobahatiaka majina yenu yakatoka, jitahidi ufahamu haya machache.
View attachment 2288723
Ila huu huzi ni kana hupo kwenye Chumba cha kujiandaa na Pepa[emoji3]
Mtu wa garden atajua nini?Mbona nimeongea na jamaa wa NBS anasema kila kitu tayari na simu washapigiwa watu
Au huyu kijana hayuko update na ofisi yake?
Taarifa kwa watu wangu wa nguvu
View attachment 2288880View attachment 2288881View attachment 2288882
Hayo majina yako wapi?•Napenda kuwapa good news
Kuhusu Majina ya waliochaguliwa na kuitwa kwenye usaili.
•Good news ni kwamba majina ya watu hao yatakuwa yamepitishwa kwa weledi mkubwa
Kabisa.
Na utume nauli demu asije.na demu wako akuache..Msimu huu hapana aseee
imagine kuwa shabiki wa Liverpool ukose ubingwa wa EPL, na UEFA then uwe shabiki wa simba ukose Ligi kuu na kombe la azam at the same time uwe ni muhimu wa elimu ya juu ualimu pdf la TAMISEMI nalo ukose
yaani umebakiza Sensa tu nayo itakuacha
Nakazia. Taarifa ni muhimu tuizingatie. Majina yatatokq soon shule zikifungwaWatendaji watashiriki semina ya Makarani na wasimamizi itakayofanyika tarehe 29 mpaka 18 mwezi ujao. Idadi ya wakufunzi ilikuwa ndogo, hivi karibuni wamewachkua Maafisa Maendeleo na hivi sasa wako semina Dom.
Kwahiyo, kilichobaki Ni majina tu ya watu.
Tunataka majina bwana hatutaki mambo ya weledi•Napenda kuwapa good news
Kuhusu Majina ya waliochaguliwa na kuitwa kwenye usaili.
•Good news ni kwamba majina ya watu hao yatakuwa yamepitishwa kwa weledi mkubwa
Kabisa.
Shule zinafungwa tarehe 28/7Nakazia. Taarifa ni muhimu tuizingatie. Majina yatatokq soon shule zikifungwa
Nakazia zaidi shule zinafungwa tarehe 26.07Nakazia. Taarifa ni muhimu tuizingatie. Majina yatatokq soon shule zikifungwa
Hakuna usaili NBS wamepokea malalamiko mengi ya hofu ya haki kutotendeka huko ambako usaili utafanyika hivyo wameamua kuwa waamuzi wa mwisho.Shule zinafungwa tarehe 28/7
Mafunzo/semina tarehe 29/7
usaili utafanyika lini?