Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Mbona nimeongea na jamaa wa NBS anasema kila kitu tayari na simu washapigiwa watu
Au huyu kijana hayuko update na ofisi yake?
 
Na utume nauli demu asije.na demu wako akuache..
 
Nakazia. Taarifa ni muhimu tuizingatie. Majina yatatokq soon shule zikifungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…