Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Hayo ya wilaya zingine wanaweka lini.? Hawawatu bwana au ndio wanachagua watu wao.?
 
By the way sote tunasaka tonge na kamtaji,that's why nikasema atakaepata ashukuru mungu na atakaekosa ashukuru pia,tusiwabeze waliopata eti Wana elimu ndogo afu mwenye elimu kubwa kukosa..!! Yote mipango ya mwenyezi mungu
 

Malipo ya sensa
 
Taifa la wapumbav
Unawekaje kilaza WA Form 4wakati kuna lundo la wasomi kitaa ?
 
Jaman mwenye mkeka wa Kibaha mjini ... Nataka kumuangalia X demu wangu ..yaan nilimjazia mafomu yale, kuprint kila kitu gharama juu yangu baada ya miezi kadhaa akanipiga kibuti

Sasa nataka nijie kama dua zangu zitakuwa zimesikilizwa na Sir God au laaa
 
Miezi kadhaa! Kwani application ilikuwa lini?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…