Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Mkuu una ufala mwingi kama Manara! Muombee tu apate!
 
Ipo hivi waratibu ni watendaji kata na Kama tunakumbuka vizuri kwa dsm watendaji wapo kwenye semina kwaiyo hadi warudi ndio majina yatatoka.
My theory.
 
Hoja yako ina Mashiko! Bokomnemela (Kibaha) Msimamizi wa TEHAMA alieitwa kwenye Interview ni Mmoja tu! Hana mshindani!
 
Jamani tuwe wapole tu mbona vigezo vilikuwa vinaeleweka vizuriiii, kwamba mwenye elimu kuanzia form four na kuendelea mwenye uzoefu wa kutumia smart phone huo uzoefu usipungue mwaka mmoja. kwa kigezo hicho yeyote anaweza kuchukuliwa awe na mastazi au form four ''D'' isipokuwa watu wa tehama ndio walisema angalau diploma ya hayo maswala ya tehama kwa kifupi hiyo ilikuwa sandakarawe mwenye kupata apate!! Hakuna haja ya kutoana ngeu humu, ukipata endaga, ukikosa unajpiga kifua unasema "hata hivyo sitegemei posho za sensa kuishi mimi" Maisha yaendelee
 
Taifa la wapumbav
Unawekaje kilaza WA Form 4wakati kuna lundo la wasomi kitaa ?
Tafuta kazi ya hadhi yako upate mshahara mnono constantly kila mwisho wa mwezi bima ya afya na mafao pamoja na semina na marupurupu ya kutosha ili next time 2032 waachie vijana walau wapate mtaji wa umachinga wewe na elimu yako sio wa kutuma maombi na form IV
 
nahitaji kufahamu kwanini NBS wamekaa kimyaa na hawatoi taarifa zozote juu ya waliochaguliwa kwenda kwenye hatua za usaili? na wakati walisema majina ya waliochaguliwa yakiwa tayari watatoa taarifa na majina tunaona yanatoka na hawatoi taarifa ? hili linamaanisha kitu gani? na Hili nataka niende mahakani kufungua kesi kama hawatatoa taarifa yoyote leo.
NBS TOENI TAARIFA LEO NA KESHO LASIVYO HAPO OFISINI KWENU MTAPAONA PACHUNGU.
 
Duuuh [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…