Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nackia baadhi ya halmashauri,meza imepinduliwa mchana...!!watumishi out....jobless inn..!! Ngoja tuendelee kuangalia movie ya sensa,maana ni km picha la kihindi vile[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
hahahahaha daaah hatari tupuu
 
Walimu na njaa zao licha ya kuwa watumishi wa umma wamewazibia watu ambao hawana ajira.😡..nafasi zao ziangaliwe upya. Meza zipinduliwe tu wapate wale ambao hawana ajira
 
Hivi wilaya ya ilemela utaratatibu wao wakutoa majina haya umekaaje, katani hayapo, wala mtandaoni hayapo, au ndio kuna uchakachuzi unaendelea aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…