Fountain of Youth
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 1,026
- 2,299
Aah sawa kwa hio jumla ya semina + kuhesabu ni laki 5.Gawanya lak5 kwa siku5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah sawa kwa hio jumla ya semina + kuhesabu ni laki 5.Gawanya lak5 kwa siku5
We jamaa😀Elfu 80 per hour
Hii laki 5 ni kwa zoezi la kuhesabu tu hujajumuisha semina sio?Gawanya lak5 kwa siku5
Hamna connection??? We jamaa hujui kitu,,kuna halmashauri x ilitoa majina yake ambayo hayakua hata kwenye usaili,watendaji wakaleta noma maana na wao nao pia wana watu wao na wameshakula kibunda,,,,patam apo[emoji23][emoji23]Nilikwambia kila kitu kinaishia kwenye Kata huku wafanya maamuzi wakiwa ni Walimu Wakuu,Mtendaji na Diwani ukabisha kuwa mambo yote yanaenda kumalizwa na NBS na hakutakuwa na upendeleo wala connection.
Aiseee punde tu naiwekaWeka list
Mkuu naona ushapasuaKwa aliyesikia fununu ya malipo itakua kiasi gani per day.
Nashukuru mungu mkuuMkuu naona ushapasua
Kvp, semina ni siku 21Gawanya lak5 kwa siku5
Semina ni 20k mkuu kuna sehemu nilisoma, lkn hapo pia kuna 5k ya usafiriTetesi ni 30 per day kwenye semina,siyo official lkn
HongeraaaNashukuru mungu mkuu
Mafunzo ni siku 21 mkuu!Gawanya lak5 kwa siku5
Umeelewa nilichokiandika hapo?Hamna connection??? We jamaa hujui kitu,,kuna halmashauri x ilitoa majina yake ambayo hayakua hata kwenye usaili,watendaji wakaleta noma maana na wao nao pia wana watu wao na wameshakula kibunda,,,,patam apo[emoji23][emoji23]
Kumbe kihela kiduuuuuchu iviSemina ni 20k mkuu kuna sehemu nilisoma, lkn hapo pia kuna 5k ya usafiri
Hizo porojo na tetes,hakuna mwenye uwakika mbaka sasa, kama waratibu wanakunja 80000 kwa siku ngaz ya mkoa,sizan kama ngaz ya wilaya iwe 20.Kumbe kihela kiduuuuuchu ivi
Inawez kuw bei gan chifuHizo porojo na tetes,hakuna mwenye uwakika mbaka sasa, kama waratibu wanakunja 80000 kwa siku ngaz ya mkoa,sizan kama ngaz ya wilaya iwe 20.
So kweli hawa jamaa wa NBS wanapita hapa mtaani jana nilimmwauliza maswali kama hayo wakanambia kama ikiwa chini bac ni 30 ila pesa nzuri tu na semina siku 21 na pia zoezi ni la siku 11 siku kama 3 za mwisho ni kuhusu majengo ama anwani za makazi,Semina ni 20k mkuu kuna sehemu nilisoma, lkn hapo pia kuna 5k ya usafiri
Siku 21 na zoezi lenyewe siku 11 japo malipo ya siku 11 sijapata tetesi za maanaSemina wanapiga siku ngapi