Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kinondoni wahuni wengi pale
Mjini hasa kinondoni wajomba wengi, ilikuwa inawezekana kabisa usahili kuisha leo na matokeo kubandikwa siku hiyohiyo au kesho yake ikichelewa sana ila kutokana na uchakachuaji ili wenye wajomba zao wawepo, ndio maana mpaka sasa bilabila. Mbona kuna kata vijijini huko mkeka ulitoka siku hiyohiyo !?
 
Hivi kata yenye Mitaa 142 inaweza kuwa na karani wangap wa Sensa inshort
Lakin kwenye yale majiana si waligawa kata zote watu wote waliomba na wanaohitajika manispaa nzima ? mfano sisi kata yetu huku kulikuwa na watu almost 300+ wa nafasi za ukarani wanaohitajika ni 66 tu na maudhui waombaji walikua 116 wanaotakiwa ni saba,,kwahy nafasi moja inagombaniwa na watu weng
 
So kweli hawa jamaa wa NBS wanapita hapa mtaani jana nilimmwauliza maswali kama hayo wakanambia kama ikiwa chini bac ni 30 ila pesa nzuri tu na semina siku 21 na pia zoezi ni la siku 11 siku kama 3 za mwisho ni kuhusu majengo ama anwani za makazi,
Waulizeni watumishi wa umma kuhusu 23.3%
 
Lakin kwenye yale majiana si waligawa kata zote watu wote waliomba na wanaohitajika manispaa nzima ? mfano sisi kata yetu huku kulikuwa na watu almost 300+ wa nafasi za ukarani wanaohitajika ni 66 tu na maudhui waombaji walikua 116 wanaotakiwa ni saba,,kwahy nafasi moja inagombaniwa na watu weng
Tehama je?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kila siku hua nasema usipigie mahesabu pesa ambayo haupo nayo wakati huo pigia mahesabu pesa uliyo nayo yani cash..

Hili zoezi limewachanganya majobless wengi sana wasijue ni wapi kwa kuanzia na wapi kwa kutokea,hii ni ishu ya kawaida sana wakuu ukipata ukikosa yote sawa ni Mipango ya Mungu.Huwezi jua umepangiwa nn na Mwenyezi Mungu.

Unaweza ukawa anajilaumu umekosa nafasi ya kuwa karani au afisa maudhui wa sensa ili upate hiyo laki 5 au 8 kumbe kuna fungu lako Mungu kakuandalia mwezi wa 8 unapata deal la kukuingizia zaidi ya million 1.[emoji857]

Yote ni mema,shukuru Mungu kwa yote na usikate tamaa maana naona wengi humu waliwekeza matumanini yao kwenye sensa kama chaguo la mwisho la maisha yao[emoji120]

Maisha ni safari bado una muda wa kutosha kupambania kombe usikate tamaa kisa hii ajira ya muda mfupi,kuna fungu lako kubwa zaidi linakuja unexpectedly utakula kuku kwa mrija.
 
Kila siku hua nasema usipigie mahesabu pesa ambayo haupo nayo wakati huo pigia mahesabu pesa uliyo nayo yani cash..

Hili zoezi limewachanganya majobless wengi sana wasijue ni wapi kwa kuanzia na wapi kwa kutokea,hii ni ishu ya kawaida sana wakuu ukipata ukikosa yote sawa ni Mipango ya Mungu.Huwezi jua umepangiwa nn na Mwenyezi Mungu.

Unaweza ukawa anajilaumu umekosa nafasi ya kuwa karani au afisa maudhui wa sensa ili upate hiyo laki 5 au 8 kumbe kuna fungu lako Mungu kakuandalia mwezi wa 8 unapata deal la kukuingizia zaidi ya million 1.[emoji857]

Yote ni mema,shukuru Mungu kwa yote na usikate tamaa maana naona wengi humu waliwekeza matumanini yao kwenye sensa kama chaguo la mwisho la maisha yao[emoji120]

Maisha ni safari bado una muda wa kutosha kupambania kombe usikate tamaa kisa hii ajira ya muda mfupi,kuna fungu lako kubwa zaidi linakuja unexpectedly utakula kuku kwa mrija.
Mkuu we umepata nini
 
Mkuu we umepata nini
Mkuu mimi nilikua town ila nafasi zilipotoka niliomba msimamizi wa maudhui tena kijijini kabisa na idadi ya watu waliiomba ni ndogo sana ila tatizo muongozo unahitaji walimu wakuu tu ndio wawe wasimamizi hivyo sikuweka nia tena japo majina bado hawajatoa na aliyepitisha majina ni mzee wangu mkubwa hivyo ameniweka kama reserve ikitokea chance watanipitisha.

Idadi ya makarani waliiomba huku nilipoomba mimi jumla ni 35 na wanaohitajika ni 30,kwenye usahili walifika 28 tu so kuna upungufu wa watu wawili kwenye ukarani..maana yake kuna shortage🤏 of manpower katika kata niliyoomba mimi.

Nimeongea hayo kwasababu niliomba nafasi ya maudhui kwa kuamini kua nitapata asilimia [emoji817] ila serikali ikaamua kuja na muongozo wao wa kuwapa kipaumbele walimu wakuu kwenye nafasi za maudhui so nikaamua kuangalia upande mwingine..

Toka nimeamua kuchukua uamuzi huo ndipo nikaona hili jambo sio la kulisikitikia sana coz huwezi jua Mungu kakuandalia nini.Kuna sehemu nipo huku huku bush Mungu ni mkubwa ndani ya muda huu mfupi nimeingiza almost 300k within two weeks ambapo hata hao makarani na wasimamizi hawajaanza kulipwa posho zao,nikikaa kwa muda mrefu zaidi naweza pata zaidi ya hiyo ni kwa kua Mungu amepanga nipate kupitia huko na sio kwenye sensa kwahiyo naombeni msikate tamaa siku yako ipo inakuja.[emoji857][emoji857]
 
Na Mimi Ilala ndio imenikalisha kwenye huu Uzi, kuaga ni jambo la msingi, ukifanikiwa tunakutakia heri Ili usije ukakodolea macho hela ukaharibu kazi, wale akina ngoswe wazee wa mbususu lazima tuwaase, kipindi hiki ni kibaya wanachuo wengi wamemaliza mitihani yao kwahiyo mtawakuta huko Kuna tuform six tubich kabisa huko, chonde chonde msije mkahonga tablets za serikal hapo lazima tuwaase. Na wale ambao tutakuwa/mtakuwa mmeliwa vichwa hizi ni ajira za muda tu, tukomae/mkomae ka laki 5 kakikupita sio kwamba ndo mengine yamekupita maisha ni haya haya watatumia laki tano zitaisha, si unaona wengine wanawaza kunywea, wengine kubetia, wengine wataenda kuhonga zinaisha, wachache watazifanyia Cha maana. Kwahiyo maisha yanaendelea
 
Na Mimi Ilala ndio imenikalisha kwenye huu Uzi, kuaga ni jambo la msingi, ukifanikiwa tunakutakia heri Ili usije ukakodolea macho hela ukaharibu wale akina ngoswe wazee wa mbususu lazima tuwaase, kipindi hiki ni kubaya wanachuo wengi wamemaliza mitihani yao kwahiyo mtawakuta huko Kuna tuform six tubich kabisa huko chonde chonde msije mkahonga tablets za serikal hapo lazima tuwaase. Na wale ambao tutakuwa/mtakuwa mmeliwa vichwa hizi ni ajira za muda tu, tukomae/mkomae ka laki 5 kakikupita sio kwamba ndo mengi yamekupita maisha ni haya haya watatumia laki tani zitaisha, si unaona wengine wanawaza kunywea, wengine kubetia, wengine wataenda kuhonga zinaisha, wachache watazifanyia Cha maana. Kwahiyo maisha yanaendelea
Hahaha! wakina ngoswe wataanza kwenye semina , kama mimi kwenye kata yangu siku ya usahili nilishuhudia pisi kali nyingi mno wengine kama wakina Paula mavazi yao sijui itakuwaje tukiwekwa/wakiwekwa pamoja najua mabaharia hawawezi kuwaacha salama lazima wataanzisha pigo za kimasihara.
 
Hahaha! wakina ngoswe wataanza kwenye semina , kama mimi kwenye kata yangu siku ya usahili nilishuhudia pisi kali nyingi mno wengine kama wakina Paula mavazi yao sijui itakuwaje tukiwekwa/wakiwekwa pamoja najua mabaharia hawawezi kuwaacha salama lazima wataanzisha pigo za kimasihara.
Sensa hizi zitaleta mambo, zitavunja mahusiano ya watu
 
Back
Top Bottom