BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
40000devide by 14hrs/12hrs=??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huku wamesema siku za kuhesabu watu ni siku 6 na siku za majengo ni siku 3
Ila hii semina ngumu jamani kupelekana paka sambili alafu ef40 daah
Hata mimi ni IT nashangaa kwanini tumechanganywa na makaraniSidhani kama ni kweli.Ila binafsi ni msimamizi wa IT sasa wakitukatisha mafunzo wakienda huko field watapambana wenyewe na vishikwambi [emoji3]
itakuwa muwafundishe kuwasha na kuzima vishkwambi [emoji38]Hata mimi ni IT nashangaa kwanini tumechanganywa na makarani
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Soma uliyofundishwaTumeni possible jamani kesho test
mnaofeli mnafukuzwa auSoma uliyofundishwa
Na kwenye tangazo lao walisema malipo ni 100k kwa siku. Mama anaupiga mwingi sanaPosho 40 per day for 16 days dodoso lina maswali 100 kwa kila mwanakaya unaenda kumuhoji mwanakaya ambae ana uchungu ameongezewa mshahara wa 10,000 kwa kipindi cha miaka 6 wananchi ambao petrol inazidi kupanda na kuleta hali duni
Huo mda unamuhoji maswali 100 kwa kila mwanakaya unamlipa [emoji16][emoji16][emoji16]
Alafu kwa posho gani Mara uanze kukagua vyeti kama viko sahihi afisa karani unageuka afisa usalama na afisa Rita kwa posho ya 40k
Hili zoezi litakuwa LA ovyo sana
Unajua kuna maswali mengjne huwa yanajijibu huko mbele.Dodoso la sensa ya watu na makazi lina maswali 100 unaweza kweli kuhoji kaya 25 kwa Siku kila mwanakaya maswali 100 ukaguwe na vyeti na kwenye semina umelishwa vitumbua na hela ya nauli unakata kwenye 40k [emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa sababu wote ni wapishi wa tukio la SensaHata mimi ni IT nashangaa kwanini tumechanganywa na makarani
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Na kwenye tangazo lao walisema malipo ni 100k kwa siku. Mama anaupiga mwingi sana
Mimi nasubiri kuhesabiwa serikali ilikata jina langu.mnaofeli mnafukuzwa au
Masaa 9 mzee40000devide by 14hrs/12hrs=??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii kazi ni ngumu najuta aiseeKwa Hali ninavyo iyona hapa kwenye semina
HI kazi ya Sensa sio KAZ mazee
Wali takiwa kupewa majobless Tu [emoji3]
KAZ n kubwa kisenge Yan [emoji1787]
Na waonea huruma maticha [emoji23][emoji23]
4444 tshs per hour🤣🤣🤣Masaa 9 mzee