fisadi12
Senior Member
- Dec 13, 2014
- 134
- 47
Kuna dalili za kukopwaTunasisitizwa uzalendo kwanza
Sent from my HUAWEI CUN-U29 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dalili za kukopwaTunasisitizwa uzalendo kwanza
Uvccm [emoji3515] kwenye mitihani wanapiga QUOTE]Huko mmelipwa
Sent from my HUAWEI CUN-U29 using JamiiForums mobile app
Mkuu hujachuguliwa tu mpaka muda huu?Yaani nawaza nachomoka vipi tarehe zikifika mara paap nachaguliwa kuendelea na Dodoso la jamii [emoji1787]
Ngoja tuone
Tayari ndio nasema nawaza kuchomoka wao wanazidi kuniingiza na hela nina tamaa nazo [emoji3]Mkuu hujachuguliwa tu mpaka muda huu?
Tunahitaji kumwagilia moyo hizo za dodoso la jamiiTayari ndio nasema nawaza kuchomoka wao wanazidi kuniingiza na hela nina tamaa nazo [emoji3]
Kumbe hii mitihan ilikuwa inavuja Hv au ndoo maana huku kijijin kuna mtu kapga 99Wakifanya hivi watakua wanazingua sana. Huku kwetu kuna watu walishapewa maswali na majibu ya Jaribio la I mpaka la III la jana (Jana nimeona kwa macho yangu, nikabaki nashangaa tu na u-jobless wangu). Hawa wanaonekana wana highest pass marks wakati utendaji wao wa kazi uwandani unatia mashaka.
Me nadhani Wakufunzi wangepewa nafasi ya kufanya sorting out in reference to class sessions. Kwa mfano darasa lina watu 70 ni rahisi kukumbuka. Mkufunzi aje darasani, a-pick waliokua sharp kujibu maswali aliyokua akiuliza mara kwa mara. Lakini kwa kigezo cha ufaulu wataharibu kabisa, watu walipata 100% mitihani yote ya awali lakini mtiti upo kwenye Kishikwambi.
Ijumaa tena mkuu au umekoseaVp Kuna aliyepewa pesa Leo???? Hku tumeambiwa Hadi ijumaa!!
Vp hko kwenu???
Mbinga wamengiza 400jion hiiIjumaa tena mkuu au umekosea
970000, laki tisa na sabini elfu, mbinga wamelipwa lak 6 na 40 up to nowWakuu hii Kazi malipo yake yatasoma sh Ngapi?
Ungesoma tena na ukielewe nilichokiandika Mkuu.Kwan kujibu maswali ndo uende dodoso la jamii ..???
Unaweza ukawa sharp kujibu maswali yanayoulizwa ila kwenye mitihani na kutumia kishkwambia Ukafeli.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kwan hela ya kaz yenyew n bei gan970000, laki tisa na sabini elfu, mbinga wamelipwa lak 6 na 40 up to now
We upo kwenye sensa?
Hongereni huku TANGA ni upuuzi tu hela sijui mkurugenzi kazila!!!kabla mama hajaondoka tunamseaMbinga wamengiza 400jion hii
Huo mkoa ni uozo kwakweli ziara ya mama maalum inayokuja isipoondoka na watu basi sangoma wao yuko vizuriHongereni huku TANGA ni upuuzi tu hela sijui mkurugenzi kazila!!!kabla mama hajaondoka tunamsea