nicnicholos
Member
- Aug 27, 2021
- 17
- 15
baada ya kuweka kile kipengele ilikuw inagoma mpaka ukijaze.... nahisi nyie wa mwanzoni mtafikiriwaHapana, kwani ilikua ukiruka chochote inagoma ndg
Unakuta wamekuandikia nini ?wadau mbona ukiingia kwenye account ya nbs bado inafunguka hilihari mda wa kutuma maombi ushapita
maombi yametumwaUnakuta wamekuandikia nini ?
Mkuu hyo ni kama akaunti yako lazma ifunguke ili ukiwa umepata au kuliwa kichwa basi ukute taarifa huko.maombi yametumwa
embu kila mtu afanye kuangalia viambatanisho vyake kama vp sahihi..kwasababu mimi leo nimeingia tena nacheki cheti cha form 4 hakuna kitu naletewa pdf ya form iliyosainiwa. akati mwanzoni before deadline kilikua kipo tu.wadau mbona ukiingia kwenye account ya nbs bado inafunguka hilihari mda wa kutuma maombi ushapita
Dah kweli, mi naona zinakuja form tuembu kila mtu afanye kuangalia viambatanisho vyake kama vp sahihi..kwasababu mimi leo nimeingia tena nacheki cheti cha form 4 hakuna kitu naletewa pdf ya form iliyosainiwa. akati mwanzoni before deadline kilikua kipo tu.
Au ndo system imepata mawenge
Hapo unakuta wanalipwa kwa kazi hiyo, kumbe hamna wanachokifanya. Kabla hayajaajiriwa yalikuwa yakilalama yakitaka ajira, sasa yameipata hayaki kufanya kazi,wabongo ni noma.Sasa kwann wameiweka mtandaoni
Jaribu kuidungua tenaMBONA ACCOUNT YANGU YA MAOMBI HAIDUNGUKI
500k ukiwa unaipata na Huna hata wqzo la biashara ni tone la maji jangwani. Haswa kwa wakazi wa TabataMambo ya connection yapo palepale. Ila kwa kuwa nafasi ni nyingi, wapo wengi watakaopenya bila connection.
Ila wangewachukua tuu wote wasio na ajira walau wapate mitaji
Kwan Ashura si ameshahsmishwa huko Tabata. au hujapata taarifa500k ukiwa unaipata na Huna hata wqzo la biashara ni tone la maji jangwani. Haswa kwa wakazi wa Tabata
Mi nmechek Mda huu zko sawa kabisa ngoja niendeleee kuomba wasje weka vikwazo vyao vya kutengeneza,hii ndo bongo ya manadiriko Hadi kwenye akaunti za watuembu kila mtu afanye kuangalia viambatanisho vyake kama vp sahihi..kwasababu mimi leo nimeingia tena nacheki cheti cha form 4 hakuna kitu naletewa pdf ya form iliyosainiwa. akati mwanzoni before deadline kilikua kipo tu.
Au ndo system imepata mawenge
Vikwazo vya kutengeneza utasikia huku certify vyetiMi nmechek Mda huu zko sawa kabisa ngoja niendeleee kuomba wasje weka vikwazo vyao vya kutengeneza,hii ndo bongo ya manadiriko Hadi kwenye akaunti za watu
vigezo vya izo kaz ulipitia vizuri kweli? leta hVikwazo vya kutengeneza utasikia huku certify vyeti
Me nimemuelewa jamaa kachukuliwa kama Assumption sioni kama karecommend akuwa Iko hvyo...vigezo vya izo kaz ulipitia vizuri kweli? leta h
ushahida kwamba kunasehem wamesema watu wa certify vyet....achen kutisha watu
Yaani kazi ya wiki moja uende kucertiy vyeti? Kama wangehitaji basi ingekuwa ni moja ya maelekezo yao, kumbukeni kwamba hizi sio ajira kama wengi mnavyoaminishwa.Me nimemuelewa jamaa kachukuliwa kama Assumption sioni kama karecommend akuwa Iko hvyo...
We Subiri mambo yatoke but issue za kucertify vyeti Iko Kila Mahalia kwenye issues za kuomba kazi hata kama wasiseme kwenye tangazo but sie wabongo hz Mishe kwetu Zinakuwa ngumu sana na kama wakifanya hvyo basi watakatwa wengi mno
Wakuu bila kujali chanzo katoa wapi hizi habari ni kweli, kuna jamaa yangu aliyeapply hizi kazi ameona jina lake hapoHii vp? Ni fake au ndo yenyewe?View attachment 2238950
Hzo ni Ajira Ila ni Ajira za muda/MkatabaYaani kazi ya wiki moja uende kucertiy vyeti? Kama wangehitaji basi ingekuwa ni moja ya maelekezo yao, kumbukeni kwamba hizi sio ajira kama wengi mnavyoaminishwa.
Shombe shombe, nasikia majina ya sensa au tunalishwa vitango poriHzo ni Ajira Ila ni Ajira za muda/Mkataba