Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

From NBS
FB_IMG_1653705260259.jpg
FB_IMG_1653705265513.jpg
 
makee, kwa hiyo mchakato wanafanya watu wa kata na sio nbs
 
Kwani maombi si yalitumwa mojakwamoja NBS.. Sasa wanasemaje yanaendelea huko ofisi za kata...? Kwanza ofisi za kata gani, hizi zisizo na umeme Wala desktop Wala printer 🖨️ kumbe hawa NBS ni wasenge sana. Huu mfumo wa kielectronic walileta wa nn... fala sana hizi nbs
yaleyale tu mmke
 
Kwani maombi si yalitumwa mojakwamoja NBS.. Sasa wanasemaje yanaendelea huko ofisi za kata...? Kwanza ofisi za kata gani, hizi zisizo na umeme Wala desktop Wala printer [emoji2774] kumbe hawa NBS ni wasenge sana. Huu mfumo wa kielectronic walileta wa nn... fala sana hizi nbs
Nadhani ndo maana walisema ukishatuma maombi ile fomu yako uipeleke ofisi ya kata yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani maombi si yalitumwa mojakwamoja NBS.. Sasa wanasemaje yanaendelea huko ofisi za kata...? Kwanza ofisi za kata gani, hizi zisizo na umeme Wala desktop Wala printer [emoji2774] kumbe hawa NBS ni wasenge sana. Huu mfumo wa kielectronic walileta wa nn... fala sana hizi nbs
Tena ni crocodio madonna kabisa, then si unaona hata ile figure ya jana imeogezeka sio ile waliosema baada ya kifunga system yao
 
Kwani maombi si yalitumwa mojakwamoja NBS.. Sasa wanasemaje yanaendelea huko ofisi za kata...? Kwanza ofisi za kata gani, hizi zisizo na umeme Wala desktop Wala printer [emoji2774] kumbe hawa NBS ni wasenge sana. Huu mfumo wa kielectronic walileta wa nn... fala sana hizi nbs
Na huko ndiko connection za ajabu zilipo tushapigwa na kitu kizito kichwani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni mda sasa mtendaji kuwatafuta watu wa ukoo wake
Muibukie mtendaji wako ujifanye kama ulisahau cheti kwenye ile bahasha ya copy mmalizane mapema ili mambo yasiwe mengi. Ndo issue inayoendelea chini kwa chini. That's how we do in my hood. Tokea juzi ni mwendo wa 50k kila kichwa uwekwe kwenye orodha ya makada watiifu wa kata
 
Kwani maombi si yalitumwa mojakwamoja NBS.. Sasa wanasemaje yanaendelea huko ofisi za kata...? Kwanza ofisi za kata gani, hizi zisizo na umeme Wala desktop Wala printer [emoji2774] kumbe hawa NBS ni wasenge sana. Huu mfumo wa kielectronic walileta wa nn... fala sana hizi nbs
[emoji16][emoji28][emoji1787][emoji1787] punguza makasiriko kijana
 
Back
Top Bottom