Ngao ya Sponji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2018
- 341
- 542
Wachache kivipi? Nafasi zilizotangazwa ni laki 2++, na Maombi yaliyotumwa ni laki 5++Hao watu walioomba kwa hizo nafasi laki mbili na elfu tano, hao waombaji mbona wachache sana kulingana na idadi inayotakiwa.
Lazimaa?? Kwamba connection Yako inasoma 5G?Sina UE boss.. Ila hizi kazi lazima nipate Mkuu.. yaani hizo pesa zao lazima ninywee bia siku mbili tatu
Mkuu hiyo idadi hapo ni sawa na ratio ya 1:3, na hapo kabla ya panga la nbs sasa wakishapitisha panga lao unadhani hiyo ratio ya 1:3 itakuwepo tena? Ndio maana nakwambia hiyo idadi ya waombaji ni wachache kulingana na nafasi zilizopo.Wachache kivipi? Nafasi zilizotangazwa ni laki 2++, na Maombi yaliyotumwa ni laki 5++
Labda za OSAMAWazee wa ramli kuna habari gani...?
Kwahiyo tufanyeje?Kumbukeni wengi walio omba ukarani wanakaa maeneo ya mijini , kumbukeni hilo na vijijini ni wachache mno....
Syo kweliKumbukeni wengi walio omba ukarani wanakaa maeneo ya mijini , kumbukeni hilo na vijijini ni wachache mno....
Mbona uko mbio mbio mkuu? Shusha pumzi ulete habari mpyaJumamosi kuna pdf kubwa itaachiwa mapema sana
Acheni maskhara
Inaonekana kuna sintofahamu hata kwa watendaji.π Tuendelee kunywa maji mengi .Nbs wanazidiwa ujanja mpk na Necta ambao wametoa tokeo la form 6 chap sijui wao wanakwama wapi aisee!! π π π