Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Wastani wa nafasi moja kugombewa na watu watatu.
Sio mbaya acha tusikilizie huu mtanange
Sio mbaya acha tusikilizie huu mtanange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaa imenibidi nicheke tuWastani wa nafasi moja kugombewa na watu watatu.
Sio mbaya acha tusikilizie huu mtanange
Serikali ina mamikono marefu mkuu usidhani wana kamkono kamoja kama hako kakoYaani ufanyishe watu usahili kwa kazi ya siku mbili huu si upuuzi sasa.
Kwani hela yenyewe sh ngapi hadi utenge laki 3 hiyo?Nikipata dili la sensa....
Naweka laki 3 pembeni nanunua mashine ya umwagiliaji[emoji19]
eeh Mwenyezi Mungu nisaidie nitoboe maana mtanange ni mkali sana
Laki 5Kwani hela yenyewe sh ngapi hadi utenge laki 3 hiyo?
Kwa hiyo unataka kusema nini? Ajira za siku mbili hizi watu wapoteze muda kwenye usahili NBS pitisheni panga hukohuko iwe sadakalawe.Serikali ina mamikono marefu mkuu usidhani wana kamkono kamoja kama hako kako
Kama kweli watafanya hiki anachokiongea Kamsaa, hakutakuwa na malalamiko ya kuwa watu wamependelewa. Maana hao watu laki tano lazima wapunguzwe wafike 205,000 wanaohitajika. Ila tu watumie njia bora kupunguza ili kusiwe na malalamiko ya kuonewa. Ukikatwa iwe kihalali.
😂Kama kweli watafanya hiki anachokiongea Kamsaa, hakutakuwa na malalamiko ya kuwa watu wamependelewa. Maana hao watu laki tano lazima wapunguzwe wafike 205,000 wanaohitajika. Ila tu watumie njia bora kupunguza ili kusiwe na malalamiko ya kuonewa. Ukikatwa iwe kihalali.
Haki laki mbili hawaitajiki watapunguzwa tenaKama kweli watafanya hiki anachokiongea Kamsaa, hakutakuwa na malalamiko ya kuwa watu wamependelewa. Maana hao watu laki tano lazima wapunguzwe wafike 205,000 wanaohitajika. Ila tu watumie njia bora kupunguza ili kusiwe na malalamiko ya kuonewa. Ukikatwa iwe kihalali.
Well said mkuuKama kweli watafanya hiki anachokiongea Kamsaa, hakutakuwa na malalamiko ya kuwa watu wamependelewa. Maana hao watu laki tano lazima wapunguzwe wafike 205,000 wanaohitajika. Ila tu watumie njia bora kupunguza ili kusiwe na malalamiko ya kuonewa. Ukikatwa iwe kihalali.
Yani unaweza kuta siku ukiweka wazo la starehe dili huwa zinatiki mapema sana. Ila ukiwek mipango.mizuri dili huwa na longolongo hata kama likitiki, hela mnacheleweshewa kulipwa na mambo mengine..Nikipata dili la sensa....
Naweka laki 3 pembeni nanunua mashine ya umwagiliaji[emoji19]
eeh Mwenyezi Mungu nisaidie nitoboe maana mtanange ni mkali sana
Pengine mtandao tu au website yao iko busy kwa muda huu, jaribu baadae pengine itakubali.MBONA ACCOUNT YANGU YA MAOMBI HAIDUNGUKI
Usaili utakuwaje kwani.Hahahaha bado sijastaafu mkuu ,nilikuwa namaanisha kwa hawa ambao hata kutuma maombi hawawezi wasijisumbue kwenye usahili hawatoboi
Mwisho ilikuwa tarehe 19 mkuumuda umekisha isha wa ku apply izo nafas ilkua mwsho n tarehe 20
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app