Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
Kweli kitaani kugumu, hizi kazi wasomi zamani walikuwa wakizikimbia, saa hv watu wanazisaka kishenzi 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kugumu sana, sio poaKweli kitaani kugumu, hizi kazi wasomi zamani walikuwa wakizikimbia, saa hv watu wanazisaka kishenzi [emoji23]
Wana report lini?Nimeona majina ya walioitwa kwa ajili ya kuanza mafunzo katika gazeti la Mwanachi la leo tarehe 12/11/2021
Hv kwa mtu wa bachelor kuna madhara kuomba kwa kutumia cheti cha form six pekee kama shahada aliosoma haijatajwa hapo kwenye tangazo
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Na kuhusu baadae either ndo umebahatika then ukaingia kosini ukainesha cheti cha degree haitoleta shida baadae ata kuiendeleza vyeo, note umri still unaniruhusu nipo chini ya 28hakuna shida Sababu utaonekana kama umemaliza six
NB:MCHAWI UMRI TUU HAPO KAMA UMEKIDHI APO FRESH
Na kuhusu baadae either ndo umebahatika then ukaingia kosini ukainesha cheti cha degree haitoleta shida baadae ata kuiendeleza vyeo, note umri still unaniruhusu nipo chini ya 28
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Ata ikichukua muda sio shida kikubwa kujua2 kama haitoleta shida katika kubadilishwa toka six kusomeka degreeInawezekana pia THOUGH*Nadhani itachukua muda kidogo ili wakubadili
Ata ikichukua muda sio shida kikubwa kujua2 kama haitoleta shida katika kubadilishwa toka six kusomeka degree
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app