Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah sasa sisi tusiokuwa na elimu itakuaje mkuu, hatuwezi kuja ili ht tulipwe nusu?Nafasi za kazi bado zipo
Vyeti imekuwa mtihani, kuna watu wana ujuzi ila uchawi hawana vyeti..Dah sasa sisi tusiokuwa na elimu itakuaje mkuu, hatuwezi kuja ili ht tulipwe nusu?
Mambo magumu mzee wangu, unaweza kushangaa unazeekea shuleni 😎Vyeti imekuwa mtihani, kuna watu wana ujuzi ila uchawi hawana vyeti..
Kama bado una nafasi, uri unaruhusu na bado hujawa na familia kubwa, tafuta vishort course kama vipo usuuze CV mzee
Hahaa.. Sahihi mzee.Mambo magumu mzee wangu, unaweza kushangaa unazeekea shuleni 😎
Mana ukisema usomee jambo flan unashangaa hupati ajira unaamua kusoma tena jambo lngn nalo pia hupati ajira unaamua kusoma tena jambo lngn nalo pia hupati ajira, yn ww n kusoma na kurudi kitaa kutega ajira tuu 😂Hahaa.. Sahihi mzee.
AiseeMwenye uhitaji akuje PM, msharaha 700,000 per month. Ratiba ya kazi ni siku 14 on and 7 days off, after 2 months of probation period.
Nasubiri nafasi mjomba🥺
Nimeshakupm mkuu 🙏🏿Njoo PM
Mkuu, ukipata kazi za sisi wanyonge tunaofanya kazi yoyote ile naomba utukumbukeNjoo PM