Nafasi za kazi Idara ya Uhamiaji (470)

Nafasi za kazi Idara ya Uhamiaji (470)

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
5,606
Reaction score
7,032
Jamani mwaka mpya na fursa za ajira zimetangazwa kutoka Idara ya Uhamiaji Tanzania. Wale wenye sifa tujimwage kujaribu bahati zetu. Tangazo hili linapatikana pia kwenye page yao ya Instagram.

Halafu si tuliambiwa Uhamiaji sasa ni jeshi, sasa mbona msemaji wao bado anaitambulisha kama Idara ya Uhamiaji?

Heri ya Mwaka Mpya 2022 wana JF wote. Mkawe na mwaka mwema wenye mafanikio tele.
 

Attachments

Jamani mwaka mpya na fursa za ajira zimetangazwa kutoka Idara ya Uhamiaji Tanzania. Wale wenye sifa tujimwage kujaribu bahati zetu. Tangazo hili linapatikana pia kwenye page yao ya Instagram.

Halafu si tuliambiwa Uhamiaji sasa ni jeshi, sasa mbona msemaji wao bado anaitambulisha kama Idara ya Uhamiaji?

Heri ya Mwaka Mpya 2022 wana JF wote. Mkawe na mwaka mwema wenye mafanikio tele.
Wameupiga mwingi.
 
Tuliambiwa ajira zote zinapitia secretariat ya ajira na majuzi tuu hapa Waziri wa Utumishi kalizungumzia sasa tunajiuliza kuna Serikali ngapi?

Au kuna baadhi ya Kazi hazitakiwi kupitia huko?
 
Jamani mwaka mpya na fursa za ajira zimetangazwa kutoka Idara ya Uhamiaji Tanzania. Wale wenye sifa tujimwage kujaribu bahati zetu. Tangazo hili linapatikana pia kwenye page yao ya Instagram.

Halafu si tuliambiwa Uhamiaji sasa ni jeshi, sasa mbona msemaji wao bado anaitambulisha kama Idara ya Uhamiaji?

Heri ya Mwaka Mpya 2022 wana JF wote. Mkawe na mwaka mwema wenye mafanikio tele.
Waliopita jkt na waliopo jkt kazi kwenu Mama kashaupiga mwingi uko
 
Mkuu mbona kwenye website Yao hakuna
Website nyingi za serikali ni changamoto tupu zimejaa huko. Wewe omba kazi, kama una sifa usije ukajikuta umechelewa bure. Hadi kwenye magazeti wametangaza.
 
Nafasi hizo zione hivyo hivyo zinawenyewe tuliojaribu awamu zilizopita tumekutana na vitu vingi Sana vya kukatisha tamaa...hizi ajira za serikali zimejaa kujuana na upendeleo kwa siye tusiojulikana kwetu ni fedheha Sana ..
Mkuu ukitaka ku apply unatuna maombi posta?
 
Back
Top Bottom