carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,771
Mkuj umeomba kwa english au swahili?Tatizo ni Moja mbona sijaona namna ya kutuma kama ni njia ya posta au ya online
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuj umeomba kwa english au swahili?Tatizo ni Moja mbona sijaona namna ya kutuma kama ni njia ya posta au ya online
Ruksa kuomba. Suala la msingi ni kuwa na cheti cha kuhitimu mafunzo ya JKT.Mkuu ivi na sisi tuliopita mujibu wa Sheria tunaruusiwa kuomba?
Vyeo vya hawa jamaa vinafanana na vya Polisi na Magereza.Jaman naombeni mniorodheshee vyeo vyote katika idara ya uhamiaji kwanzia cheo Cha chini adii Cha juu kabisa, pia naomba kujua viongozi wa juu kabisa wa idara io
DuaAsaante San, Sasa wakat mm naomba nimeomba Kama mtu wa 4m4 sijasema Kama nimemaliza form6 kwa7bu 4m6 nilipata zero kabisa masoomo yote nilipata F nikiwa nasoma PCB ko vipi sa na chet Cha jkt kinaonesha ni mujibu wa Sheria, vipi apo awawezi kumaindii?
Ambaye hana cheo ndio huyo Constable. Akipanda cheo kinachofuata ndio anakua Coplo, sergeant, Staff Sergeant, Sergeant major, Assistant Inspector, Inspector, Assistant Superintendent, Superintendent, Senior Superintendent, Assistant Commissioner, Senior Assistant Commissioner, Deputy Commissioner, Commissioner, Commissioner General.Pia Asante Kwa hili jibu, naomba msaada wa maswali yanayoweza kuurizwa uko wakati wa kufanya usaili wa jeshi la uhamiaji endapo nikiitwa nisije kutoa macho tu
Na kama cheo Cha kuanzia ni konstebo, je askari ambae hana cheo chochote kabisa kwenye idara ya uhamiaji anaitwa nani??
Kuhusu maswali siwezi kujua ndugu. Hilo lipo nje ya uwezo wangu. Labda umtafute mtu anayefanya kazi huko anaweza kukusaidia.Pia Asante Kwa hili jibu, naomba msaada wa maswali yanayoweza kuurizwa uko wakati wa kufanya usaili wa jeshi la uhamiaji endapo nikiitwa nisije kutoa macho tu
Na kama cheo Cha kuanzia ni konstebo, je askari ambae hana cheo chochote kabisa kwenye idara ya uhamiaji anaitwa nani??
Nikweli lakin maandarz ni muhimuMbona mambo bado sana
Ouk, mwenye ujuzi kwa apa atujuze kidogoKuhusu maswali siwezi kujua ndugu. Hilo lipo nje ya uwezo wangu. Labda umtafute mtu anayefanya kazi huko anaweza kukusaidia.
Shukran Sana bro nimeelewa, apaAmbaye hana cheo ndio huyo Constable. Akipanda cheo kinachofuata ndio anakua Coplo, sergeant, Staff Sergeant, Sergeant major, Assistant Inspector, Inspector, Assistant Superintendent, Superintendent, Senior Superintendent, Assistant Commissioner, Senior Assistant Commissioner, Deputy Commissioner, Commissioner, Commissioner General.
Tunaomba experience apa ilikuwaajeMkuu twambie kidoogo usaili uliopita ulivyoomba ilikuwaje? Twambiee tupatie uzoefu kidogo
Usikatishwe tamaa na mtu kwasababu et yy alikosa, wapo waliopata na hawana connection wala kupendelewa.... Hapa ni kutuma maombi na ukiitwa interview ni kuhudhuriaMkuu twambie kidoogo usaili uliopita ulivyoomba ilikuwaje? Twambiee tupatie uzoefu kidogo
Asaaante saana kwa ushauri, nikiitwa nitawajuza ili tuendelee kutiana moyoUsikatishwe tamaa na mtu kwasababu et yy alikosa, wapo waliopata na hawana connection wala kupendelewa.... Hapa ni kutuma maombi na ukiitwa interview ni kuhudhuria
Kozi ya uhamiaji ni Tanga Boma kichakamiba ... mungu tupeleke .[emoji120]