Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa mbanga kwenye hizi nafasiNimejila mazee sijui wanavigezo gani wanavyotaka vingine vyote ninavyo ila nimekosa hizi ajira yawezekana ikawa ni fake tuweni makini
Udini Mwingi pia .. wanzanzibar kibao wapo hadi nafasi za wabaraSifa mbanga kwenye hizi nafasi
Daah mzee wangu sio poa. Nilienda usaili wa polisi makao makuu nikakosa, Nikaenda fire November makao nikakosa. Takukuru nilipoitwa sikwenda sababu ya watu wengi kuitwa. Leo uhamiaji wametoa majina simo.Nimejila mazee sijui wanavigezo gani wanavyotaka vingine vyote ninavyo ila nimekosa hizi ajira yawezekana ikawa ni fake tuweni makini
yaani we acha tu inauma sana mzee mtu umejitaid kusma kwa nguvu zte then unakuja kumalza mambo yenyewe ndo yanakuwa hayaDaah mzee wangu sio poa. Nilienda usaili wa polisi makao makuu nikakosa, Nikaenda fire November makao nikakosa. Takukuru nilipoitwa sikwenda sababu ya watu wengi kuitwa. Leo uhamiaji wametoa majina simo.
Daah Inakata kinoma mzee wangu. Probably Mungu katuandalia sehemu nyingine au nzuri zaidi kila mtu kwa nafasi yake mkuu
Hakuna namna, ni kusubiri wakati tulopangiwa kwa kila mmojayaani we acha tu inauma sana mzee mtu umejitaid kusma kwa nguvu zte then unakuja kumalza mambo yenyewe ndo yanakuwa haya
Wapi uko zimetangazwa,, mbona sijaona taarfa kama hiyoVijana mama katoa tena ajira 7000 ualimu.
Nimejila mazee sijui wanavigezo gani wanavyotaka vingine vyote ninavyo ila nimekosa hizi ajira yawezekana ikawa ni fake tuweni makini
Samahani naomba kuuliza kwani majina ya waliochaguliwa naweza yaona wapi?Nimejila mazee sijui wanavigezo gani wanavyotaka vingine vyote ninavyo ila nimekosa hizi ajira yawezekana ikawa ni fake tuweni makini
Samahani naomba kuuliza kwani majina ya waliochaguliwa naweza yaona wapi?
wakuu vp hamna lonja yoyote kama immigration watahitaji tena watu?coz nawakubali sana hawa jamaaMkeka tarehe 28
Wakikujibu nitagwakuu vp hamna lonja yoyote kama immigration watahitaji tena watu?coz nawakubali sana hawa jamaa
wapo kimyaa mkuu,ngoja wajeWakikujibu nitag
naimani wakija safari hii siwakosiHawa uhamiaji wametufanyia uhuni apo nyuma .
Connection unayo?naimani wakija safari hii siwakosi
Nitajiamini kuwa nikonayo siku nimetusua.leo itoshe kusema nawahitaji waje upya safari hiiConnection unayo?