Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,798
- 1,570
kila nkiiangalia nakutana na za january tuZiwekeni hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila nkiiangalia nakutana na za january tuZiwekeni hapa
daaaah hapo nmeshakosaEither uwe na jkt au jku
Bila hicho hutoboi
Tuliambiwa ajira zote zinapitia secretariat ya ajira na majuzi tuu hapa Waziri wa Utumishi kalizungumzia sasa tunajiuliza kuna Serikali ngapi?
Au kuna baadhi ya Kazi hazitakiwi kupitia huko?
Wenye fani ndio watapewa kipaombele ,so Kuna wengine wanaweza chukuliwa kama unachet cha jkt mkuu wewe tumaaa ....Wakuuu, hvv kwa sisi form 6 tusuokuwa na fani hzoo walitotajaa hapoo tunaweza kuombaa hvyo hvyooo???
Then na kwa upande wa Cv kwa form 6 inawekwajeee??
Mmm nachanganyikiwaaa hukuuu
CV kwa watu wa fani tuNa hz Cv tunaandka wote mpk sisi wa fomu 4 au nikwaa wa degree tuhh??
Kwan deadline Lin? Kwny tangazo sjaona
Angalia page ya 3 ya tangazo wameeleza kila kitu. Tangazo lipo juu kwenye comments hapoKwan deadline Lin? Kwny tangazo sjaona
Ahsnt ndgu nimeonaAngalia page ya 3 ya tangazo wameeleza kila kitu. Tangazo lipo juu kwenye comments hapo
Fata maelekezo, kupiga muhuri haizidi elfu10 kwa vyeti vyote ulivyonavyo, nenda mahakamani shughuli imekwisha mtafute hakimu au Wakili that's allWadau mim nashindwa kuelewa,kwanini waseme viambatanisho vithibitishwe na Hakim au wakili wa serikali mfano chet ya kidato cha 4 yaani hawaamini km yenyewe au panakaaje hapo?
Hata ajira portal ukituma maombi kwenye account yako na wakakuta vyeti vyako havina muhuri wa wakili, hakimu hawakuiti kwenye interview yyote.Wadau mim nashindwa kuelewa,kwanini waseme viambatanisho vithibitishwe na Hakim au wakili wa serikali mfano chet ya kidato cha 4 yaani hawaamini km yenyewe au panakaaje hapo?
MkuuFata maelekezo, kupiga muhuri haizidi elfu10 kwa vyeti vyote ulivyonavyo, nenda mahakamani shughuli imekwisha mtafute hakimu au Wakili that's all
Peleka kila kitu unapigiwa muhuri wa true copy of the original.Mkuu
Na hz leaving na zenywe zina thibitishwaaa??
Duuuh Kaz kw kwel,lkn tajitahidHata ajira portal ukituma maombi kwenye account yako na wakakuta vyeti vyako havina muhuri wa wakili, mwanasheria hawakuiti kwenye interview yyote.
Watakwambia tu umeshindwa kuitwa interview kwasababu vyeti vyako sio verified through your account.
Hii ndio bongo aiseePeleka kila kitu unapigiwa muhuri wa true copy of the original.
Sometimes wakiona waombaji ni wengi wanaweka tu sababu ya muhuri, ambao vyeti havina muhuri wanakaa pembeni kwanza. The n waliobaki wanajipima kwenye interviewHii ndio bongo aisee