Nafasi za Kazi Idara ya Uhamiaji Leo 11/12/2022

Nafasi za Kazi Idara ya Uhamiaji Leo 11/12/2022

Hivi huwa wanakubali kwa watu waloajiriwa kada nyingine ya serikali na ana vigezo aombe huko, kuna mwamba ameniuliza nmekosa jibu hapo.
 
Habari! Wana jamvii mm nimepata jmos natakiwa kwenda kufanya interview dodoma sasa nilikuwa naomba msaada wa hints and tips kuhusu hii interview natanguliza shukrani nyingi.Asante!
 
Habari! Wana jamvii mm nimepata jmos natakiwa kwenda kufanya interview dodoma sasa nilikuwa naomba msaada wa hints and tips kuhusu hii interview natanguliza shukrani nyingi.Asante!
Wameshatoa majina ya waliopita?
 
Back
Top Bottom