Nilikuwa nikiomba kila siku bi mkubwa wangu amefadhaika Sana kuliko hata mie mpaka najuta kwanini nimemwambia[emoji21]mkuu ulitegemea sana utapata hz ajira e? mana naona imekua dissapointed sana kulko weng
pole mkuu , magereza vp uliaplai pia? au hakukua na koz yako?Nilikuwa nikiomba kila siku bi mkubwa wangu amefadhaika Sana kuliko hata mie mpaka najuta kwanini nimemwambia[emoji21]
linMambo ya majeshi na ualimu yalivurugwa 2016-2020 hapo ndiyo maana leo vijana wengi wanakwama sana wenye sifa mmekuwa wengi mno na hakukuwa na mpango wa kuwapunguza,poleni tena.
Sikuwa na vigezo piapole mkuu , magereza vp uliaplai pia? au hakukua na koz yako?
mkuu hz kaz kupata ni probability, connection nyng ila wanaopata kwa bahat wapo japo ni wachache,kama kuna wadau hapo juu wamepata baadh bila conn, by the way subr JW ila umesomea fani gani?Sikuwa na vigezo pia
Mie ni form six cna fani ya cheti cha diploma wala degree Sababu hata hela za kusomeshwa hazipo zaidi mie ni mhangaikaji nina ujuzi wa mtaani ni fundi rangi japo kuna muda kazi zakata napiga vibiashara vidogo dogomkuu hz kaz kupata ni probability, connection nyng ila wanaopata kwa bahat wapo japo ni wachache,kama kuna wadau hapo juu wamepata baadh bila conn, by the way subr JW ila umesomea fani gani?
😁Me nimekosa asee bongo bila connection kugumu sana
Me nimekosa asee bongo bila connection kugumu sana😁bongo
Me nimekosa asee bongo bila connection kugumu sana
ForcrSio kweli,mm namjua mtu kakosa
Force numberForce number au certificate number? Labda zimefanana ila ziko tofauti katika aina ya Operesheni.
Ila nje ya hapo kuna shida mahali.
Force nambaForce number au certificate number? Labda zimefanana ila ziko tofauti katika aina ya Operesheni.
Ila nje ya hapo kuna shida mahali.
naamn tpdf utapataMie ni form six cna fani ya cheti cha diploma wala degree Sababu hata hela za kusomeshwa hazipo zaidi mie ni mhangaikaji nina ujuzi wa mtaani ni fundi rangi japo kuna muda kazi zakata napiga vibiashara vidogo dogo
Huko ndiyo kugumu Kabisa bila connection hutoboi au unaweza nisaidie connectionnaamn tpdf utapata
Najifariji labda jina langu ntalikuta PDF ya magereza au uhamiaji japo sijaomba [emoji22][emoji18]
Mbona majina ya watu kutoka mikoa ya Zanzibar hayapo?Mambo ya majeshi na ualimu yalivurugwa 2016-2020 hapo ndiyo maana leo vijana wengi wanakwama sana wenye sifa mmekuwa wengi mno na hakukuwa na mpango wa kuwapunguza,poleni tena.
Umejuaje kama hayapoMbona majina ya watu kutoka mikoa ya Zanzibar hayapo?
Boss form 6 majina yenu yametolewa kwenye mikoa yenu husika?Mbona Mimi form six kijana nimechukuliwa bila connection
Force number yako herufi za mwanzo ni sawa na hiyo uliyoiona?[emoji16]
Forcr
Force number
Force namba
🤣🤣🤣Ukienda na akili hizo hutamaliza depo,kwani faster utafukuzwa.Aliyepitia JKT yaani CCP ni mtelezo tu.
Katika hiyo mikoa umeona mkoa wowote kutoka Zanzibar?Umejuaje kama hayapo