Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ndo maana unakuta polisi hajui hata affidavit nini hata kuandaa kwenye kunakuwa kwa tabu?

PGO polisi hajui, inatia huruma sana nchi yetu.

Siku hiz aina ya matukio na makosa yamebadilika, bila kuwa na uelewa, huwez kufanya kitu, mfano, cyber crime, hapando wanahitaji vijana wengi lakin wap duu
 
mkuu hz kaz kupata ni probability, connection nyng ila wanaopata kwa bahat wapo japo ni wachache,kama kuna wadau hapo juu wamepata baadh bila conn, by the way subr JW ila umesomea fani gani?
Mie ni form six cna fani ya cheti cha diploma wala degree Sababu hata hela za kusomeshwa hazipo zaidi mie ni mhangaikaji nina ujuzi wa mtaani ni fundi rangi japo kuna muda kazi zakata napiga vibiashara vidogo dogo
 
Me nimekosa asee bongo bila connection kugumu sana
😁
Me nimekosa asee bongo bila connection kugumu sana😁bongo


Me nimekosa asee bongo bila connection kugumu sana
Sio kweli,mm namjua mtu kakosa
Forcr
Force number au certificate number? Labda zimefanana ila ziko tofauti katika aina ya Operesheni.
Ila nje ya hapo kuna shida mahali.
Force number
Force number au certificate number? Labda zimefanana ila ziko tofauti katika aina ya Operesheni.
Ila nje ya hapo kuna shida mahali.
Force namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…