Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hii nchi ngumu hii jaman, mtu unakomaa unaumia na vitabu mwisho wa siku wanachukua vilaza.

Et aliesoma hawez kushika bunduki, kuifikia marekan na israel katika maswala ya intelligence tutayasikia tuu.

Ngumu sana
 
Baba kantuma wamepeta Sana yametoka majina hata usaili hayakuwepo
 
Hii nchi ngumu hii jaman, mtu unakomaa unaumia na vitabu mwisho wa siku wanachukua vilaza.

Et aliesoma hawez kushika bunduki, kuifikia marekan na israel katika maswala ya intelligence tutayasikia tuu.

Ngumu sana
[emoji23][emoji23] bongo bila connection hutoboi mzee
 
Rai:-
Huko CCP hakuna mambo ya kudoji ukiepa kipindi utafukuzwa kule hakuna mambo ya jkt kwamba ukidoji andaa nguvu.Ndugu zangu mukawe watiifu na mujipange.

Kuhusu minazi ukikamatwa unayeya.
C&P.
Ronja hizi kaniambia ndugu yangu mvaa kaki(polisi).
Kaka nipo hapa hapa,madogo tulieni usije na u-jkt wako hapa na unisikilize kwa umakini
Mosi,simu ni kosa kubwa sana yaani immediately utafukuzwa
Mbili,kutoka nje ya chuo utafukuzwa
Tatu,minazi yaani kuwa na mahusiano ya kimapenzi ni chap utapepea
Nne,kutokuwepo kwenye rollcall yeyote ile utafukuzwa
Asanteni
 
Back
Top Bottom