Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ndio ila sio kila jambo ni laku msukumia mungu, mengine you have to fix , wana wameenda hadi makao makuu wamelia sana, suburia sana wakuu njee watoke ile mida ya saa 10 kazini, omba sana , wakaambiwa andiken majina hapo, leo wameula

Aisee kumbe..??sasa mbona hatuambiani technique hizo mazee..
 
Kila mtu anamtazamo yake kuna walio lia lakin wap?

Cha msingi ni mungu tuu, kwa maana ya bahata ya mtu

Kama hujapata, labda sio siku yako, subir ikifika utapata.

Kuna zile ajira za walimu watu walienda kulia tamisem na wengine wakaonga mihela lakin hakuna walicho kipata.


Af saa nyingine naona kunaissue ya kubaniana. Miwatu yenye degree huko wizarani inabania vijana, yaani wanaona kama mtachukua hizo nafasi zao.

Hii africa ngumu sana
 
Updates..., Polisi wametoa majina tembeleeni page yao ,nimeshindwa kuyaweka hapa nimengi mnoo
 
Updates..., Polisi wametoa majina tembeleeni page yao ,nimeshindwa kuyaweka hapa nimengi mnoo
Acha kuwarusha vijana.
Majina yametoka tangu jana wewe unatoa taarifa leo huoni unawayumbisha wenzio?
 
Nadhani ni mapya maana wameweka wenye fani na form iv kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…