mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Hahaha umepata kwani Mzee?Bado naendelea kusema, tafuta connections kijana , acha kumsingizia mungu, nadhani mmeona sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha umepata kwani Mzee?Bado naendelea kusema, tafuta connections kijana , acha kumsingizia mungu, nadhani mmeona sasa.
MmmmmmmhhhBado naendelea kusema, tafuta connections kijana , acha kumsingizia mungu, nadhani mmeona sasa.
Bado naendelea kusema, tafuta connections kijana , acha kumsingizia mungu, nadhani mmeona sasa.
Sure maana kuna wana kibao wameenda hadi vipimo lakini hawaja pata , ila kama unamtu juu ni simple tuHahahahaha dah mwamba unakazia kabisa dah [emoji22][emoji22]
Mungu kwanzaBado naendelea kusema, tafuta connections kijana , acha kumsingizia mungu, nadhani mmeona sasa.
Sure maana kuna wana kibao wameenda hadi vipimo lakini hawaja pata , ila kama unamtu juu ni simple tu
Ndio ila sio kila jambo ni laku msukumia mungu, mengine you have to fix , wana wameenda hadi makao makuu wamelia sana, suburia sana wakuu njee watoke ile mida ya saa 10 kazini, omba sana , wakaambiwa andiken majina hapo, leo wameulaMungu kwanza
Kwa nafasi zilizo baki pambana upate connection kama unania mzee , mambo hayatokei tu yanatengenezwa hakuna bahati ni juhudi zako ndo zitaifanya ionekane una bahati,Kwahio unatushaurije kaka[emoji2960][emoji2960]
Second. !!!Bado majina mangap et, kama kutakuwa na second selection watu wa shahada hawafiki kumi wakizidi sana ishirin
Ndio ila sio kila jambo ni laku msukumia mungu, mengine you have to fix , wana wameenda hadi makao makuu wamelia sana, suburia sana wakuu njee watoke ile mida ya saa 10 kazini, omba sana , wakaambiwa andiken majina hapo, leo wameula
Yani hii ipo kote africa kwenye swala la ajira , kama hauna mtu, Utakuwa termed as black African monkeyAisee kumbe..??sasa mbona hatu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Huu Uzi sahivi umekuwa Kama wa msiba tunapeana moyo na kufarijiana
Bado kaka,mm na wewe wote twasuburia uko,ule uzi ulio anzisha unepoa sana kule
Mengine tena or?Updates..., Polisi wametoa majina tembeleeni page yao ,nimeshindwa kuyaweka hapa nimengi mnoo
Dah nashindwa kutoa jibu ila kuna jambo hapo..Ni sawa inaanza AT namba zote ni yangu
Acha kuwarusha vijana.Updates..., Polisi wametoa majina tembeleeni page yao ,nimeshindwa kuyaweka hapa nimengi mnoo