Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,084
Ronjaaa isiyo na UMUHIMU.Vijana mlioomba huu ni wakati wa..
1.Kuwa makini.. Rushwa ndo inatembea Sana kipindi hiki, UNAWEZA UKATAPELIWA.
2.Sio kila taarifa/swali ni la msingi.. KUNA WATU WANATAMANI KUWATOA NJE YA RELI (Wengine wapo JF wengine mtaani kwako)
3.MTANGULIZE MUNGU.. Atakuvusha.
Tupo pamoja makamanda.Hahahahah
Kama umeomba pambana upate huu sio wakati wa kumuangalia nani atapata pamoja nami, mkishakuwa pamoja kambini ninyi ni wamoja.
Wazee wa lonjaaaKwa mtakaopata nafasi ya usaili, be well prepared mentally, physically and spiritually.
Anything can happen.. kila kada usaili utakua kwenye kikosi husika.
Tupeni lonjaaa tufurahi
Manjaguuuu Awiiiiiih..Mtakao shindwa msibadili ID, Kuna kampuni kibao za ulinzi.
Vua gamba, vaa gwanda.
Hahahahah, tupeni lonja watt wa afande IGP.
AmenAwiiiiiih... Mlioomba MAGEREZA, ZIMAMOTO, UHAMIHAJI endeleeni KUMUOMBA MUNGU awafanyie wepesi na KUDRA Zake ziwatangulie.
Awaaah...
HahahahahaHuu uzi sasa utakua tambala..... ni mwendo wa ma comment tu.
Vijana wametoka nao mbali sanaaaa... Toka 18/08/2021.Huu uzi sasa utakua tambala..... ni mwendo wa ma comment tu.
Usikate tamaa kijana na wewe ipo siku Mungu atajibu ombi lako,uzuri vyombo vinaajiri mara kwa mara la msingi uwe na vigezo na connection.Vijana wametoka nao mbali sanaaaa... Toka 18/08/2021.
Juzi ndio umetimiza page ya 100, leo 110+.
Mkuu umeukutia page ya ngapi?
HahahahahWazalendo naona mnakula utawala mitaa ya shanty town, wengine sijui wameenda Alberto?
Maana si kwa kupoa huku, kikosi kimedorola hakina Lonjaaa.
Hahahahah tupeni lonja mapot
Hahaha mwendo wa LonjaMapongo.. wazee wa chuma... lonja za ccp sasa:
wanasema ccp ukilala na totoz unaamshwa na kufukuzwa kozi. Ukilala fofofo unaamshwa na mabio. Ukilala kilele pori utaamshwa na mabomu... hakuna kulala wanangu wa kazi.
#twenzerudoria
Nmewaambia hapo juu kuna second selection majina 1000 +bado majina ya polis hayajaisha,ni wale wenye fani....siku si nyingi mkeka utasoma
Duuh ulijiamini sana mkuu ila sema nini isiwe kesi omba Tanapa hao bado deadlineNiliomba PT tu mkuu
TANAPA wameshatoa nafasi?Duuh ulijiamini sana mkuu ila sema nini isiwe kesi omba Tanapa hao bado deadline
Na chama la wana likija nalo pia we omba
Mi nimeomba polisi, magereza, uhamiaji kote huko nimekosa sijakata tamaa na wewe usikate tamaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app