Watataftia ndugu zao mwishowe ndugu wataisha, af itakuwa zamu yetuHii inaonesha mama anataka kufanya kama enzi za kikwete kwamba ajira kwa wingi sio.
913000Choo Cha Kulipia....vipi mishahara ya takukuru ipoje kama unafahamu........au mwengine Yoyote anaejua atujuze..
Nb..”Kama huna mchango kausha tuu“
Cheti tu analipwa 1MChoo Cha Kulipia....vipi mishahara ya takukuru ipoje kama unafahamu........au mwengine Yoyote anaejua atujuze..
Nb..”Kama huna mchango kausha tuu“
Cheti tu analipwa 1M
Mkeka upi tena boss?Mkeka vipi unatoka lini
PT nasikia kuna mkeka mwengine second selectionMkeka upi tena boss?
Nlikua najiuliza, n kwa nn watu wanakesha kwny huu uzi kumbe ni uzi wenye "Multiple deals"[emoji848]Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU
VACANCIES ANNOUNCEMENT Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) invites qualified Tanzanians to fill vacant posts as shown below: 1.0 INVESTIGATION OFFICERS (200 POSTS) 1.1 Academic Qualifications: Applicants should posses at least a first degree from a...www.jamiiforums.com
NAFASI ZA KAZI TAKUKURU (350 POST)
Wakuu naona cheti cha JKT kimekuwa dili sana, kama Huna hiki cheti nafasi utaziangalia kwa macho tu..
Mike situmekubaliana nafasi zimeishaPT nasikia kuna mkeka mwengine second selection
Huwezi Jua kama bwana Gpili kapewa lonjaMike situmekubaliana nafasi zimeisha
Daaah inauma kukubali ukwel kwaiyo ndio bac tena [emoji18]Mike situmekubaliana nafasi zimeisha
Itakua anajifarijiHuwezi Jua kama bwana Gpili kapewa lonja
Kiongoz twende takukuruDaaah inauma kukubali ukwel kwaiyo ndio bac tena [emoji18]
HV takukuru wakikuita interview it means wote mnaenda makao makuu au zinafanyikia mikoani km police na magereza .Kiongoz twende takukuru
Umeitwa ?HV takukuru wakikuita interview it means wote mnaenda makao makuu au zinafanyikia mikoani km police na magereza .
Mi nimeuliza tu utaratibu sijasema wameniita nataka kutuma maombiUmeitwa ?
Watakupa mwongozo usijaliMi nimeuliza tu utaratibu sijasema wameniita nataka kutuma maombi