Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ni hatari na kama ikiwa dar watu wengi wa mikoani hawatokuja sababu kuhofia kama ilivotokea polisi...watu wamekuja dar nauli wamechoma mwishowe wamekosa nafasi
Daah hicho wengi wanaogopa aisee nikiwemo mimi .isije ikawa tayari wana watu wao na idadi yao
 
Kumbe magereza hawakutaja form six kwenye kipengele chochote? bas labda nimechanganya na PT
 
Ni hatari na kama ikiwa dar watu wengi wa mikoani hawatokuja sababu kuhofia kama ilivotokea polisi...watu wamekuja dar nauli wamechoma mwishowe wamekosa nafasi
sahh kabsa, mtu atoke mwanza, au mbal uko afike dar maana yake total cost inaweza fika lak2 alafu probability ya kupata ni 0.5. naona bora wangechuja wenyew huko watoe tu pdf mambo taendelee, kwasabbu ni fan bas wachuje fan wanazotaka bas mambo yaende.
 
Back
Top Bottom