Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Napitia vigumu Sana kwenye maisha yangu sijui ni kwanini kila ninacho gusa hakiwi ..nakuwa disappointed ubaya zaid natokea familia duni ..eew mungu sehem yangu ya rizk ni ipi...bado sitambui kwann maisha yangu yanakuwaga hivi
Oi man!

Naelewa unachokisema hapa, wengi tumetoka kwenye familia duni tu. Lakini kukaa na kulalamika tu haisaidii kitu man.

Dunia haina huruma hii tena kwa mtoto wa kiume!! Kaza aisee, gangamala boy!

Naonaga unalalamikaga tu humu kuwa bila connection hutoboi!! Kuna ukweli lakini tupo wengi tumepata nafasi sehemu bila hata kufahamiana na watu.

Usiache kujaribu aisee na punguza kulalamika man mwisho utakufuru..
 
Pole sana mkuu but katika maisha n usikate tamaa na wala usiache kuapply

Mm wakat namaliza chuo nliombaga job sehemu nkaenda kwa interview jamaa akanambia umepita but nyoosha mkono wanao taka Nafasi n wengi m nkawa sina kitu nkapigwa chini hvo mkuu huku nikijua kabisa nmefaulu interview cuz nlipigishwa oral + written siku kata tamaa nkajarbu kuomba kikazi angalau cha kuandisha maboresho ya daftari la mpiga kura zile nafasi watendaji ndo walikuwa wenye kuselect cuz ata barua zilipita kwao ile kwenda kupitishiwa barua mtendaji akaniuliza na ww n kijana wa chama?? Nkasema hapana akanambia nakupitishia barua ipeleke halmashauri lakini sisi ndo tunachagua so jipange pakubwa then uje tuongee kikubwa napo nlikosa pesa nkapigwa chini sikukata tamaa

Nkajarbu tena kuomba kazi kampuni flani nkaitwa interview bahati nzuri boss alikuwa mzungu akanifanyia interview ya vitendo cuz n fani za computer after interview boss akasema utapigiwa simu kama umepita nikufanyie oral interview after two days boss akanipigia simu akidai nifike haraka ofisini kwake nlikuwa nisharudi home sina ata nauli nkamwambia okay boss but naomba nije after three days nitafte nauli boss akasema okay fine, nkasononeka sana nkasema nimepoteza nafasi sikulala kesho yake boss akanipigia asubuhi kuwa jiandae uje kesho nakutumia nauli kufika ofisini boss ananiambia utapenda uanze na mshahara gani nkaishiwa pozi nkawa kimya then boss akanambia don't worry unaonaje nkikipa offer ya Tsh... aisee kwa ile salary sikubisha kwa degree yangu serikalin silipwi vile na vile nilitaka kazi na ata experience sikuwa nayo.

Sahv naomba kwenye vyombo vya ulinzi cuz nalipenda jeshi and niko competent mambo ya computer naona jeshi n mahali sahihi kwangu kama ntafanikiwa so usikate tamaa please katika maisha wala usimlaumu mtu pambana2 mkuu kidogo kinaweza leta kikubwa watoto wa masikini tunapitia wakati mgumu sana hadi kuja kutoboa
Umenisaidia hadi mm
Shukrani
 
Oi man!

Naelewa unachokisema hapa, wengi tumetoka kwenye familia duni tu. Lakini kukaa na kulalamika tu haisaidii kitu man.

Dunia haina huruma hii tena kwa mtoto wa kiume!! Kaza aisee, gangamala boy!

Naonaga unalalamikaga tu humu kuwa bila connection hutoboi!! Kuna ukweli lakini tupo wengi tumepata nafasi sehemu bila hata kufahamiana na watu.

Usiache kujaribu aisee na punguza kulalamika man mwisho utakufuru..
Mekupata mkuu
 
Mzee acha kulialia humu watu wapo bize sana we kaza tu wengine ya kwetu tunakufa nayo kigumugumu..............kama umesoma sayanc na mambo unayajua nenda shule yoyte iliyokarbu nawe ya serikali kajitolee(shule za serikali walimu wa sayanc dili) pig mzgo mpka madgo waelewe then anza kuwapa sumu za tuishen na mitihan huku unaangalia mambo mengine ....

Kulialia humu sio ishu zaidi zaid unajichoresha.

Ngoja ni unsubscribe huu Uzi nishone nitulie
Usitoke humu kuna watu wazima watakupa michongo ya maana
 
Usitoke humu kuna watu wazima watakupa michongo ya maana
Nani akupe mchongo mzee humu....watu wapo bize sana kwenye maish ipo hivi ni unakomaa mwnywe watakukuta mbele ya safari sio kulialia..... of koz anaweza akaja mtu mwnye roho yake nyeupe ila mtamchukua vp mtu wa kukta tamaa??.

Anyway kila mtu ananjia zake za kupunguza msoto wa kitaa mwengine kwa kuyasema mwengine anakufa nayo kijeruman tai shingoni.
 
Nipo maeneo ya wilyani tanga waombaji wa jeshi la zimamoto wanafanyiwa usaili wa mwisho
 
Wadau naombeni msaada nijaribu tanapa unatumia sanduku lipi la posta na usaili wao utafanyika wapi
 
Fire tanga wamechukuliwa watu kumi tu wanawake wawili kati yao
 
Wadau naombeni msaada nijaribu tanapa unatumia sanduku lipi la posta na usaili wao utafanyika wapi
 
Hiz nafasi wanatoa kama hapo watakaa mpaka kufa. Hawatendi haki kabisa
 
Back
Top Bottom