Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oljoro jkt. Kukimbizana kwa wingi, pushapu kama zote, kuruka vikwazo ndio usiseme, kujivuta, na kulenga shabaha. Usaili ni mgumu na kuchaguliwa ni bahati nasibu piaHivi wakuu usaili tanapa wanapigia wapi
Ila ww jamaa ww hukubali kua umekosa polisi ? Hivi unajua vipimo ni gharama ?Nasikia huko ccp watu wanaenda kupimwa tena kwaiyo kuna wataorudishwa
Tunasubiri kwa hamu ..mwomba mungu hachokiKama una connection subiri mapungufu yatakayo jitokeza kwa hao vijana baada ya kuripoti huko ccp maana lazima magepu yajazwe. Hapo kuna watovu wa nidhamu, wachelewaji, kuna ambao hawata kwenda kuripoti japo sio rahisi, na kuna vipimo vya afya. Hapa lazima nafasi zipatikane na lazima zizibwe.
Jaman m naombeni ushauri niliomba zimamoto na wameniita kwenye usaili ila cheti cha jkt sina sasa nawaza sijui niende au nisipoteze mda wangu tu mn nilifanya km kubahatisha.Dah niliomba nahisi nimepigwa chini
Nenda mkuu unaweza pata bahati yawezekana una vitu vya ziada unavyoJaman m naombeni ushauri niliomba zimamoto na wameniita kwenye usaili ila cheti cha jkt sina sasa nawaza sijui niende au nisipoteze mda wangu tu mn nilifanya km kubahatisha.
Duh hatari kwelikweli ntajaribuNenda mkuu unaweza pata bahati yawezekana una vitu vya ziada unavyo
HahahahahahahaTunasubiri kwa hamu ..mwomba mungu hachoki
KabisaaKuna kamsemo kinasema "mwomba mungu hachoki"
Unauliza swali au umeleta taarifa?????Jamani cheti cha la saba ukiacha system inakubali..Ajira za takukuru
NaulizaUnauliza swali au umeleta taarifa?????
Mkoa gan umeitwa boss ?Jaman m naombeni ushauri niliomba zimamoto na wameniita kwenye usaili ila cheti cha jkt sina sasa nawaza sijui niende au nisipoteze mda wangu tu mn nilifanya km kubahatisha.
Labda nafasi ni nyingi na waombaji walikia wachache eneo ilo mzee kawasikilizieJaman m naombeni ushauri niliomba zimamoto na wameniita kwenye usaili ila cheti cha jkt sina sasa nawaza sijui niende au nisipoteze mda wangu tu mn nilifanya km kubahatisha.