Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
itabdi mkafanyie usaili dodoma, mkuu uliaplai kwa fani gani
Wale tulioomba dodoma....nadhan usaili utafanyika apo UKONGA-daresalam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itabdi mkafanyie usaili dodoma, mkuu uliaplai kwa fani gani
Daah bora hata mkoani .unaitwa unachoma nauli unaenda huko mambo hayaendiWale tulioomba dodoma....nadhan usaili utafanyika apo UKONGA-daresalam
daa yan mtu atoke mkoan mfano sumbawanga na akose, bora wangekua wanafanya selection moja kwa mojaWale tulioomba dodoma....nadhan usaili utafanyika apo UKONGA-daresalam
Daah bora hata mkoani .unaitwa unachoma nauli unaenda huko mambo hayaendi
piaMi niliapply na form six
Wanasema form six na wenye fani makao makuu form 4 ndio mkoani
Ndiokwan 4m6 pia mlituma makao makuu?
pia
daa yan mtu atoke mkoan mfano sumbawanga na akose, bora wangekua wanafanya selection moja kwa moja
Namaanisha unaenda kule bado unakosa tena na hapo ushachoma nauli ila ndio hivyo hakuna namnaKwamba ukonga mambo hayaendi Au..?
kwan 4m6 pia mlituma makao makuu?
pia
Daah hicho wengi wanaogopa aisee nikiwemo mimi .isije ikawa tayari wana watu wao na idadi yaoNi hatari na kama ikiwa dar watu wengi wa mikoani hawatokuja sababu kuhofia kama ilivotokea polisi...watu wamekuja dar nauli wamechoma mwishowe wamekosa nafasi
Daah magereza walizingua sana sasa waliwapigia simu ya nini Kama form six walikuwa hawawatakiForm six magereza hawajahitajika....halafu waliotuma makao makuu ni wenye taaluma tuu.....form six walitums wilayani ambapo wengi walifikuzwa
sahh kabsa, mtu atoke mwanza, au mbal uko afike dar maana yake total cost inaweza fika lak2 alafu probability ya kupata ni 0.5. naona bora wangechuja wenyew huko watoe tu pdf mambo taendelee, kwasabbu ni fan bas wachuje fan wanazotaka bas mambo yaende.Ni hatari na kama ikiwa dar watu wengi wa mikoani hawatokuja sababu kuhofia kama ilivotokea polisi...watu wamekuja dar nauli wamechoma mwishowe wamekosa nafasi
Walisema kwenye kipengele cha kutuma cheti unaweza ambatanisha nakala ya cheti cha form six Kama unacho lakiniKumbe magereza hawakutaja form six kwenye kipengele chochote? bas labda nimechanganya na PT
kwa form six au huyo ni mwenye taaluma anaweza tuma na cha form sixWalisema kwenye kipengele cha kutuma cheti unaweza ambatanisha nakala ya cheti cha form six Kama unacho lakini
vipi PT uliaplai pia?Walisema kwenye kipengele cha kutuma cheti unaweza ambatanisha nakala ya cheti cha form six Kama unacho lakini
kwa form six au huyo ni mwenye taaluma anaweza tuma na cha form six
mkuu nawe uliaplai kwa taaluma ipiYap hii ndio maana ya ile sentence.....yan wenye taaluma ndio waweke chet cha six kama kipo
900k..Hizi nazo zimekaaje upande wa mishahara Choo Cha Kulipia
Ndio . nilikosa mkuuvipi PT uliaplai pia?