BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,131
Tarehe ya kureport ni kuanzia leo tarehe 23.…Nimepita CCP Moshi leo naona kama kuna watu wanaripoti
Level gani huo mshahara mzeeCheti tu analipwa 1M
Sijasikia kama wameita usaili,ila Nina imani badoHawa fire wanatutisha sana mpka sahivi kimya au na huko ndio tumetemwa nini
Kule kuzuri wako chini ya Ofisi ya Rais(Utumishi na Utawala bora) wakiwa pamoja na TISS..Choo Cha Kulipia....vipi mishahara ya takukuru ipoje kama unafahamu........au mwengine Yoyote anaejua atujuze..
Nb..”Kama huna mchango kausha tuu“
Mjiandae kuna nafasi ziko njiani pia za maafisa usalama viwanja vya ndege/aviation security officers chini ya Tanzania Airport Authority/KADCO(KIA) nao watataka uwe na cheti cha JKT uwe degree/diploma holder or less..
Kazi kwenu vijana hizi kazi tunawaachia damu changa.
Itakuwa hivi mpaka 2025,kama unaweza press button ya pause ya umri wako miaka yote uwe kwenye sifa.Mwaka huu wa moto..?[emoji91][emoji91][emoji91]
Mjiandae kuna nafasi ziko njiani pia za maafisa usalama viwanja vya ndege/aviation security officers chini ya Tanzania Airport Authority/KADCO(KIA) nao watataka uwe na cheti cha JKT uwe degree/diploma holder or less..
Kazi kwenu vijana hizi kazi tunawaachia damu changa.
Usiulize mshahara,Omba/Tuombe Mungu kupata nafasi.Kwani nafasi ndio muhimu kwanza....Hizi nazo zimekaaje upande wa mishahara Choo Cha Kulipia
Usiulize mshahara,Omba/Tuombe Mungu kupata nafasi.Kwani nafasi ndio muhimu kwanza....
Nasikia eti watoto wa ma Don wao wanaingia hata mpka December eti hata januari pale ambapo imetokea wamepungua na vipimo au mambo mengine yaani wale wanaojaziwa jaziwaNimepita CCP Moshi leo naona kama kuna watu wanaripoti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa yangu kaniambia usaili magereza wilays niliopo oral walkua saba tu na wanaohitajika 2, wote vgezo wanavyo bad finally wakarusha karatas juu uchague kimoja,bas ukichagua kimeandkwa HAPANA ndio mwendo waliumaliza
Wale tulio apply makao si ni pdf au nao pia wanapigiwa simu ?Sijasikia kama wameita usaili,ila Nina imani bado
itabdi mkafanyie usaili dodoma, mkuu uliaplai kwa fani ganiWale tulio apply makao si ni pdf au nao pia wanapigiwa simu ?
Mi niliapply na form sixitabdi mkafanyie usaili dodoma, mkuu uliaplai kwa fani gani