Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Safari hii CCP itajaa nyomi la kufa mtu.

Kama ni hivi basi chama la wana litabeba zaidi ya 10k,kihangaiko na oljoro kwa pamoja.
Chama la wana kunaweza kukawa na upenyo mzuri na Mwingi PT wamebeba watu wengi Sana
 
Wakuu naombeni tip ya interview za polisi nimeitwa Dodoma tarehe 30 naombeni maelezo kidogo mnaojua kuanzia maswali na jinsi ya kuvaa (mavazi) nivushe
 
Wakuu naombeni tip ya interview za polisi nimeitwa Dodoma tarehe 30 naombeni maelezo kidogo mnaojua kuanzia maswali na jinsi ya kuvaa (mavazi) nivushe
Jiandae na vyeti vyako vyote


Jiandae kupimwa afya, gharama ni 5000 tuu

Lazima wakucheki fitness kama kutembea mwendo wa haraka na kadhalika


Jiandae vizur kwenye fld uliyo somea, haswa kwenye writtern interview

Pia kutakuwa na oral, lakin sio kivile ni maswali tuu ya general
 
Dah mbona uhamiaji wamechukua idadi ndogo sana ivi duh...?
 
IMG_9125.jpg

IMG_9128.jpg

IMG_9127.jpg

IMG_9126.jpg
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa wakat walikuw wanataka watu 350 ila wameita watu 120+
au vigezo??

Blaza mimi ninavigezo vyoteee na nina washkaji zangu kama saba hivi wote tuna vigezo yan vyooote vigezo tumekidh sasa duuh [emoji849][emoji849][emoji849][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Duuuh
Blaza mimi ninavigezo vyoteee na nina washkaji zangu kama saba hivi wote tuna vigezo yan vyooote vigezo tumekidh sasa duuh [emoji849][emoji849][emoji849][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Duuuh hatari sana labda watakuwa na list nyingne tusubr
 
Blaza mimi ninavigezo vyoteee na nina washkaji zangu kama saba hivi wote tuna vigezo yan vyooote vigezo tumekidh sasa duuh [emoji849][emoji849][emoji849][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hizo force numbers ukizicheki kwa haraka haraka inaonekana wengi ni waliopita JKT kwa kujitolea, na ambao bado wako vikosini mpaka leo (OP Makao Makuu), bila shaka hao ndio wamepewa kipaumbele. Kuna wadogo zangu nimewaona hapo bado wapo vikosini, na wala hawana mbanga wowote
 
Duuu aisee ngoja baka baka aisee kulr hakuna uswahili. Sifa maji na nguvu zako.


Kijana kumekuwa na huonevu haswa kwenye kupata hizi nafasi, yaani nilikuwa nasikia lakin leo nimeyaona.

Ule msemo wa kuwa uyaone nimeuona leo.

Vijana tusikate tamaa tuendeleeni kupambana iko siku yetu kama mungu akikuandikia unatoka utatoka.

Kuna zile ajira elfu moja sijui zimeishia wap?

Af najiuliza, ijumaa ndo siku ya mwisho, hao majina yao yaliyotoka sasahiv wata wekwa wap coz muda wa kuanza koz umefika.

Duuh inatia huruma aisee
 
Duuu aisee ngoja baka baka aisee kulr hakuna uswahili. Sifa maji na nguvu zako.


Kijana kumekuwa na huonevu haswa kwenye kupata hizi nafasi, yaani nilikuwa nasikia lakin leo nimeyaona.

Ule msemo wa kuwa uyaone nimeuona leo.

Vijana tusikate tamaa tuendeleeni kupambana iko siku yetu kama mungu akikuandikia unatoka utatoka.

Kuna zile ajira elfu moja sijui zimeishia wap?

Af najiuliza, ijumaa ndo siku ya mwisho, hao majina yao yaliyotoka sasahiv wata wekwa wap coz muda wa kuanza koz umefika.

Duuh inatia huruma aisee
hata bakabaks itakua hvhv
 
Hizo force numbers ukizicheki kwa haraka haraka inaonekana wengi ni waliopita JKT kwa kujitolea, na ambao bado wako vikosini mpaka leo (OP Makao Makuu), bila shaka hao ndio wamepewa kipaumbele. Kuna wadogo zangu nimewaona hapo bado wapo vikosini, na wala hawana mbanga wowote
sahh ,kwa kuangalia F number inamana hakuna wa mujibu kabsa apo?
 
Back
Top Bottom