Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
Vijana wenzangu wapambanaji Mpoo?? Mbona mmepoa jamanii
Tupe lonja chief....uelekeo magereza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wenzangu wapambanaji Mpoo?? Mbona mmepoa jamanii
Tujaribu takukuru huku mambo yashakua magumuGpili kutoka Tanga huyu kijana yupoo kweli au kaenda CCP kimya kimya bila kutuaga Ndugu zake wa JF?
Huko Mimi sifahamuuTupe lonja chief....uelekeo magereza
[emoji1787][emoji1787] Tuko pamoja kaka, Kila siku nazama humu na kwny website ya magereza kucheki kama PDF imeachiwa nakuta holaaa!!!Acha tuu kk....watu wamepoa sana yan najikuta kama nipo pekeangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787] Tuko pamoja kaka, Kila siku nazama humu na kwny website ya magereza kucheki kama PDF imeachiwa nakuta holaaa!!!
Acha tuu kk....watu wamepoa sana yan najikuta kama nipo pekeangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wapo CCP mzeeAcha tuu kk....watu wamepoa sana yan najikuta kama nipo pekeangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wapo CCP mzee
Tupo mbona bdo tunasubiri mpaka tone la mwisho yani
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Wengine hadi sahivi tunasubiria rehma za mungu tu
Andaeni mibanga kuna uvumi wa TPDF kutoa ajira 5000 nyingi ni kwa waliojenga ukuta wa ikulu....
Utasikia hapo wanataka wapiganaji?Andaeni mibanga kuna uvumi wa TPDF kutoa ajira 5000 nyingi ni kwa waliojenga ukuta wa ikulu....
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Utasikia hapo wanataka wapiganaji?
Kama huku feli 4, inakukula. Na kama ulifaulu, kiherehere chako.