Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Gpili kutoka Tanga huyu kijana yupoo kweli au kaenda CCP kimya kimya bila kutuaga Ndugu zake wa JF?
 
Acha tuu kk....watu wamepoa sana yan najikuta kama nipo pekeangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787] Tuko pamoja kaka, Kila siku nazama humu na kwny website ya magereza kucheki kama PDF imeachiwa nakuta holaaa!!!
 
Wengine hadi sahivi tunasubiria rehma za mungu tu
 
[emoji1787][emoji1787] Tuko pamoja kaka, Kila siku nazama humu na kwny website ya magereza kucheki kama PDF imeachiwa nakuta holaaa!!!

Uzi umepoa sana huu kk hadi tunapata wasiwasi[emoji38][emoji38]
 
Andaeni mibanga kuna uvumi wa TPDF kutoa ajira 5000 nyingi ni kwa waliojenga ukuta wa ikulu....
 
Andaeni mibanga kuna uvumi wa TPDF kutoa ajira 5000 nyingi ni kwa waliojenga ukuta wa ikulu....
Utasikia hapo wanataka wapiganaji?

Kama huku feli 4, inakukula. Na kama ulifaulu, kiherehere chako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…