Ivi fire na magereza washazipiga az wea ajira walizozitangaza au ??
Mwaka huu kabla haujaisha yawezekana ila mambo ya jeshi muda wote yanabadilikaZinatoka lini mkubwa
Kwa jw sidhaniUtasikia hapo wanataka wapiganaji?
Kama huku feli 4, inakukula. Na kama ulifaulu, kiherehere chako.
Jw bwana maji tuu na nguvu na kifua chako. Wako vizurKwa jw sidhani
Kuna habari ganii kwani?Vp huko?
Hamna jambooKuna habari ganii kwani?
Rudisha Avatar yako mtaalam wa matibabuHawa Magereza huenda wameghailisha kozi hawa[emoji38][emoji38]
Wa msata jiandaeni
Kuna jambo ganii tenaa.......Mkao wa kula...[emoji860][emoji860]
Kuna lonja gani kaka?Mkao wa kula...[emoji860][emoji860]