Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Uongo mtupu
 
Tell her
 
Basi ndio hivyo

Yule jamaa wa ikulu alipigwa pingu mbele zetu na RPC akakazia asitoke na sisi tukapewa nauli tukaambiwa tutapigiwa simu
 
Natafuta mbanga wa kuniingiza jw.. nasikia kuna bog la msata , january
 
Oda ya leo Msata

Wazalendo waanze kuripoti haraka.
 
[QUOTE="XAVIER PETER[XP], Oda ya leo Msata

Wazalendo waanze kuripoti haraka.[/QUOTE]mmmh
 
Hivi karibuni hata mm nahisi zimamoto wataanza
Majaliwa alieokoa watu kwenye ajali naona atafungulia ajira za jeshi la zimamoto na uokoaji maana hawezi kupigishwa kozi mwenyewe so tuombe Mungu.

NB:ni mtizamo wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…