Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Asubuhi ya leo kupitia EFM RADIO
kipindi cha chumvi na kina maulidi kitenge magazeti yametoa malalamiko ya polisi kuwa mishahara yao ni finyu mno plus traffic police wameondolewa posho ya pango.
BAADA ya dakika chache kuna jamaa akamtumia ujumbe wa sms Maulidi KITENGE kuwa wenzetu Jwtz private anaanza na malipo ya 1.5 M lkn sisi polic unaye anza kazi ni ni 500K .
wazee nikawaza sana inamana huko polisi hali ngumu kiasi kwamba jamaa wanalia lia namna hii ?
Uongo mtupu
 
hakuna private wa jwtz anayeanza ma 1.5m wote wanaanza na 500+ k kinachoongezeka ni posho na lesheni(" na lesheni inaweza kukatwa vilevile kutokana na kikosi") tuu labda akiwa na degree ndo inaweza ikafika M ila mshahara hamna anaechukua Milion private anayeanza
Tell her
 
Basi ndio hivyo

Yule jamaa wa ikulu alipigwa pingu mbele zetu na RPC akakazia asitoke na sisi tukapewa nauli tukaambiwa tutapigiwa simu
 
Natafuta mbanga wa kuniingiza jw.. nasikia kuna bog la msata , january
 
[QUOTE="XAVIER PETER[XP], Oda ya leo Msata

Wazalendo waanze kuripoti haraka.[/QUOTE]mmmh
 
Hivi karibuni hata mm nahisi zimamoto wataanza
Majaliwa alieokoa watu kwenye ajali naona atafungulia ajira za jeshi la zimamoto na uokoaji maana hawezi kupigishwa kozi mwenyewe so tuombe Mungu.

NB:ni mtizamo wangu
 
Back
Top Bottom