Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wapendwa Sasa wale wa form four tunatumia sanduku la posta la Dodoma au unapo ombea maana maelezo yanasema uandike la Dodoma afu mpokeaji ni polisi wa mkoani kwako Sasa hapo inakaaje kitaalamu
 
sure sure mkuu
 
Wapendwa Sasa wale wa form four tunatumia sanduku la posta la Dodoma au unapo ombea maana maelezo yanasema uandike la Dodoma afu mpokeaji ni polisi wa mkoani kwako Sasa hapo inakaaje kitaalamu
Kipengele (i)

Maelekezo yote yapo hapo, daah aisee
 
Hili swala la CV umelitoa wapi kaka mbona Kwenye viambatanisho hawajaorodhesha au wamesema wanataka watu wenye experience katika jeshi la polisi?
Hapo jiongeze bro, lazma uwe na cv Yako uitume pamoja na mambo mengine.

Hapa ni swala la kujiongeza, ushindani no mkubwa na cv yako itaonesha Kila kitu chako kwenye experience
 
Yeah sasa hapo nafikiri swala linalowatatiza wengi tunazitumaje hizo doc kwenye email either unapiga picha then unazisend kwenye hyo email au unascan doc zote Afu unatuma....?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Maelezo yapo clear kabsa hamna sehemu umeambiwa Hilo kiambatanisho B upige picha hamna sehemu wamekwambia uscan.

Maelezo yako clear kabsa kipengele (iv)
 
Hili swala nilisema huko juu

Kwenye viambatanisho hawajataka fomu ya daktari wala barua ya utambulisho wala passport size Kama zamani wanavyosema


Ila watu wabishi
 
Nadhani Form six kama alipitia JKT Kwa kujitolea anaweza tumia cha From4 ila kama alipitia Mujibu WA sheria basi huyo asahau hizi ajira ni Kwa form4 Tu hasa waliopitia JKT Kwa kujitolea
Humu ndani kuna watu walikuwa mujibu wa sheria tunawafahamu

Waliondoka na uhamiaji , fire wengine magereza


Wamesema cheti cha jkt hawajasema jkt kujitolea
 
Maelezo yapo clear kabsa hamna sehemu umeambiwa Hilo kiambatanisho B upige picha hamna sehemu wamekwambia uscan.

Maelezo yako clear kabsa kipengele (iv)
Nilichoelewa barua na vyeti lazima viwe kwenye PDF ndiyo utaweza kuvituma na isipokuwa form yakujaza ndio hupaswi kuiscan
 
Nilichoelewa barua na vyeti lazima viwe kwenye PDF ndiyo utaweza kuvituma na isipokuwa form yakujaza ndio hupaswi kuiscan
Kuna Form six ambaye ameshapeleka maombi Kupitia cheti cha form four
 
Wapendwa Sasa wale wa form four tunatumia sanduku la posta la Dodoma au unapo ombea maana maelezo yanasema uandike la Dodoma afu mpokeaji ni polisi wa mkoani kwako Sasa hapo inakaaje kitaalamu
S.l.p ya dodoma alaf barua utaiwasilisha kwa kamanda wa polisi wa mkoa na sio kama utumie slp ya mkoa uliopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…