mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
uzi hot sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa makini utapigwa na kitu kizitoMbanga nyingi zinaomba pesa kabla ya majina kutoka , hii imekaaje wakuu.
Mbanga mnapataje aise .
hato amini. kipindi hiki utapeli unakua mwingi sanaKuwa makini utapigwa na kitu kizito
Ila me naona kama anaweza kukuweka , anaweza kukutoa pia.Hii inategemea na unafahamiaje na mhusika kama humfahafu vema ni ngumu ila kama mnafahamiana sio tatizo
Yaani hapo ukisikia ngumu kama ngamia kupenya katika tundu la sindano.Hii kazi ya afisa uhamiaji atakaepata ana bahati kwelikweli. Kuna wakujitolea wengi Wana sifa na vigezo vinavyohitajika Kama ilivyoainishwa. Hapo bado sijazungumzia mujibu wa sheria ambao walianza kwenda tangu 2013, Sasa hivi ndo wenye shahada mbalimbali. Hapo bado Zanzibar nao watapewa nafasi zao. Bila kusahau kubalance jinsia. Yani ukipenya uhamiaji we una bahati Sana!!!!!
mkuu kama umewahi hudhuria pepa za utumishi ,nyomi ya watu inavokua kubwa huku mkigombania post 3 uwezi shangaa kugombania 500-post. kikubwa uthubutu na duaHii kazi ya afisa uhamiaji atakaepata ana bahati kwelikweli. Kuna wakujitolea wengi Wana sifa na vigezo vinavyohitajika Kama ilivyoainishwa. Hapo bado sijazungumzia mujibu wa sheria ambao walianza kwenda tangu 2013, Sasa hivi ndo wenye shahada mbalimbali. Hapo bado Zanzibar nao watapewa nafasi zao. Bila kusahau kubalance jinsia. Yani ukipenya uhamiaji we una bahati Sana!!!!!
Uhamiaji ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani waziri wake CCM mwenzie wanakutana bungen....endelea kujifariji.kuwa na ndugu mbunge sio kupata mkuu
[emoji1787][emoji1787]Yaani hapo ukisikia ngumu kama ngamia kupenya katika tundu la sindano.
Sema hapa issue ni [emoji269]
Ukweli unaoumiza huu,[emoji23][emoji23]yani kma siyo baba kantuma inahitaji Dua na bahati SanaHii kazi ya afisa uhamiaji atakaepata ana bahati kwelikweli. Kuna wakujitolea wengi Wana sifa na vigezo vinavyohitajika Kama ilivyoainishwa. Hapo bado sijazungumzia mujibu wa sheria ambao walianza kwenda tangu 2013, Sasa hivi ndo wenye shahada mbalimbali. Hapo bado Zanzibar nao watapewa nafasi zao. Bila kusahau kubalance jinsia. Yani ukipenya uhamiaji we una bahati Sana!!!!!
Kuomba uhamiaji ni kupoteza pesa na muda kama huna connections......akipata mtu wa JF humu bila mbanga aje atoe ushuhuda.mkuu kama umewahi hudhuria pepa za utumishi ,nyomi ya watu inavokua kubwa huku mkigombania post 3 uwezi shangaa kugombania 500-post. kikubwa uthubutu na dua
Leo nimeenda kwa kamanda polisi mkoa DSM kutuma barua daaahh bado kidogo nimvae ACP mmoja anipambanieHaya Mambo ukiwa baba kantuma raha Sana linachukuliwa jina tu kma jina basi,haya Mambo mengine hayahusiki [emoji2]
[emoji2] ngumu kumezaKuomba uhamiaji ni kupoteza pesa na muda kama huna connections......akipata mtu wa JF humu bila mbanga aje atoe ushuhuda.
Nakazia hii,Tutoboe sote jamani maisha ndiyo haya haya kusaidianaKuna watu mna [emoji269] ya uhakika ila mnatuchora jamani tusibaniane, mtaani sio kuzuri, chukua hata wawili jf hapa utakuwa umesaidia wengi nyuma yake, na mambo yako yatafunguliwa zaidi na zaid.
Dah ujobless unanipeleka race sana